Mwabukusi: Nitatumia sheria kuwawajibisha watumishi serikalini

Dar es Salaam. Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Boniface Mwabukusi amesema atafuata taratibu na itifaki za nyadhifa za viongozi wa Serikali atakapoingia katika ofisi zao kuomba ushirikiano na ikishindikana atawalazimisha kushirikiana kupitia nguvu ya sheria. Kinachompa nguvu ya kufanya hivyo ni kile alichofafanua kuwa, watumishi wa umma wanawajibika kwa wananchi kwa mujibu wa…

Read More

Rais Samia apata muarobaini wa migogoro ya wakulima na wafugaji

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan amezindua Kampeni ya TUTUNZANE MVOMERO 2023-2028 wilayani Mvomero mkoani Morogoro inayohamasisha wafugaji kufanya ufugaji wa kisasa ikiwemo kuwa na maeneo yao ya kulima malisho ili kuondokana na migogoro kati yao na wakulima na watumiaji wengine wa ardhi kila uchao….

Read More

NMB yaahidi neema wadau sekta ya kilimo

KATIKA kuhakikisha wadau wa sekta ya kilimo wananufaika na kuchangia Pato la Taifa, Benki ya NMB imeahidi kuendelea kutoa elimu, mikopo ya riba nafuu na bima za sekta za uzalishaji kwa mkulima mmoja mmoja, vikundi vya wakulima, wafugaji, wavuvi na vyama vya ushirika. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma… (endelea). Ahadi hiyo imetolewa leo Jumamosi na Mkuu…

Read More

Rais Samia apata muarobaini migogoro ya wafugaji, wakulima

  RAIS Samia Suluhu Hassan amezindua Kampeni ya TUTUNZANE MVOMERO 2023-2028 wilayani Mvomero mkoani Morogoro inayohamasisha wafugaji kufanya ufugaji wa kisasa ikiwemo kuwa na maeneo yao ya kulima malisho ili kuondokana na migogoro kati yao na wakulima na watumiaji wengine wa ardhi kila uchao. Anaripoti Mwandishi Wetu, Morogoro … (endelea). Rais Samia amezindua kampeni hiyo…

Read More

Udom wanadi tiba lishe kupunguza magonjwa yasiyo ya kuambukiza

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Dodoma Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom) kimewataka Watanzania kuzingatia umuhimu wa lishe bora ili kuepuka magonjwa yasiyo ya kuambukiza. Chuo hicho kinatumia Maonesho ya Wakulima Nanenane yanayofanyika kitaifa jijini Dodoma kutoa elimu kwa umma kuhusu umuhimu wa kuzingatia lishe bora pamoja na kufanya uchunguzi wa awali wa magonjwa yasiyo ya…

Read More

BALOZI NCHIMBI ATUA KIGOMA, KUTIKISA KANDA YA ZIWA

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi amewasili mkoani Kigoma tayari kuanza ziara ya mikoa mitano ya Kigoma, Geita, Kagera, Mara na Mwanza Balozi Nchimbi amewasili leo asubuhi Agosti 4, 2024 katika Uwanja wa Ndege wa Kigoma akiwa amembatana na Katibu wa NEC, Oganaizesheni, Ndg. Issa Haji Usi Gavu, Katibu wa…

Read More

Wananchi wampongeza Rais Samia kwa huduma za msaada wa kisheria bure Nanenane

WANANCHI wanaopata msaada wa kisheria za mama Samia Legal Aid zinazoendelea kutolewa kwenye maonyesho ya Nane nane mkoani Morogoro wameelezea namna walivyonufaika na huduma hizo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Morogoro … (endelea) Wakizungumza mkoani hapa jana, wananchi hao walimpongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kupeleka huduma hizo kwenye maonyesho hayo ambapo wamesema zimekuwa mkombozi kwao. Renatha…

Read More