
MATUKIO; Rais Dkt. Samia Akizungumza na Washiriki wa Kikao Kazi Cha Wenyeviti wa Bodi na Watendaji Wakuu wa Taasisi za Umma
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt,Samia Suluhu Hassan akizungumza na Washiriki wa Kikao Kazi Cha Wenyeviti wa Bodi na Watendaji Wakuu wa Taasisi za Umma wakati wa ufunguzi wa Kikao hicho ukumbi wa Mikutano AICC Arusha leo August 28,2024. Fuatilia mitandao yetu ya kijamii Instagram: @mamakajatz Twitter @mamakajatz Facebook: Mamakajatz YouTube: Mama kaja…