Kinondoni wamaliza hivi mgogoro soko la Tandale

Dar es Salaam. Baada ya kuibuka vurugu wiki iliyopita katika upangaji wa wafanyabiashara katika soko jipya la Tandale, sasa shughuli hiyo itafanywa na kamati maalum badala ya Mwenyekiti wa soko hilo, Juma Dikwe, kama ilivyokuwa awali. Hayo yamesemwa leo Jumamosi  Agosti 3,2024,  na Ofisa Biashara Mkuu wa Halmashauri ya Kinondoni, Philipo Mwakibete, alipozungumza na Mwananchi…

Read More

SIMBA KUSHTAKIWA KISA AISHI MANULA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Ameandika, Jemedari Said Meneja wa Aishi Manulam,baada ya kumsahalika katika utambulisho wa wachezaji Simba katika kilele cha Simba Day katika uwanja wa Benjamin Mkapa.     Tunazungumza na wanasheria wetu kuona namna watakavyoshughulia suala la klabu ya Simba na mchezaji wetu AISHI MANULA kwa kitendo cha Simba KUMZUIA mchezaji kucheza soka ambacho kinapingana na kanuni…

Read More

Mwabukusi awatoa hofu wanaodhani ataipiga vita Serikali

Dodoma. Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) amewaondoa hofu Watanzania kuwa atafanya kazi kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu walizojiwekea. Mwabukusi ameyasema hayo katika ukumbi wa mikutano wa Jakaya Kikwete Dodoma leo Agosti 3,2024 mara baada ya kula kiapo mbele ya Wakili mwandamizi, Dk Mkunga Mtingele. “Jambo jingine nililotaka kuzungumza ni wasiwasi, jana kuna…

Read More

Safari ya Mwabukusi TLS ilikuwa ngumu kama Lissu

Dar es Salaam. Licha ya milima na mabonde aliyopitia wakili Boniface Mwabukusi, magumu hayo hayakumzuia kushinda urais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS). Misukosuko aliyopitia mbali na kuwekewa pingamizi na hatimaye kuenguliwa asigombee urais huo, pia amekumbana na matukio ya kukamatwa na polisi, kushtakiwa kwenye Kamati ya Maadili ya Mawakili na kupewa onyo, masuala…

Read More