Arusha. Mahakama ya Rufani imetengua hukumu ya kifungo cha maisha jela aliyokumiwa mkazi wa Ilala, Dar es Salaam, Matiku Thomas baada ya kutiwa hatiani kwa
Month: August 2024

SIMBA imetambulisha kikosi cha wa wachezaji 30 kwa ajili ya msimu 2024/25 huku majina ya Lameck Lawi na Israel Mwenda yakikosekana. Simba walimtambulisha Lawi kama

Mbeya. Mamlaka ya afya ya mimea na viuatilifu nchini (TPHPA), inatarajia kufanya operesheni na msako wa kushtukiza nyumba kwa nyumba, kubaini viwanda bubu na mashine

MASHABIKI wa Yanga mzuka umepanda wakati Kilele cha Mwananchi kitakapohitimishwa kesho Kwa Mkapa, jijini Dar es Salaam huku shoo nzima ikiachwa chini ya Harmonize a.k.a Konde

Aliyekuwa mlinda mlango namba moja wa Simba Sc, Aish Manula ni mmoja kati ya mchezaji ambaye hajatajwa kwenye kikosi kipya cha Simba cha msimu

Dar es Salaam. Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa amevunja bodi ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) baada ya mwenyekiti wake

NA MWANDISHI WETU, DODOMA Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) unawaalika wananchama na wananchi kutembelea banda la Mfuko huo katika Maonesho

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewatumia salamu Simba SC na kuwatakia kila la kheri katika msimu wa 2024-2025 huku akiwapa

“Niwapongeze benchi letu la Ufundi kwa maandalizi mazuri ya msimu ujao, tutakiane kila la kheri…. tujipongeze wote kwa kuvunja rekodi ya Club ya kuuza

Tabora. Baadhi ya wanawake waliopata huduma ya kujifungua kwenye Zahanati ya Isevya iliyopo Manispaa ya Tabora wameiomba Serikali kujenga uzio mrefu kuzunguka zahanati hiyo ili