Dosari ya kisheria yamnusuru kifungo cha maisha jela

Arusha. Mahakama ya Rufani imetengua hukumu ya kifungo cha maisha jela aliyokumiwa mkazi wa Ilala, Dar es Salaam, Matiku Thomas baada ya kutiwa hatiani kwa ulawiti. Hukumu imetolewa ikielezwa Mahakama ilikosea kumtia hatiani ilipobaini utofauti wa ushahidi na hati ya mashtaka aliyoshtakiwa mahakama ya awali. Matiku alidaiwa kumlawiti mtoto wa kiume anayekadiriwa kuwa na umri…

Read More

Simba yataja wapya 30, Mwenda, Lawi wakosekana

SIMBA imetambulisha kikosi cha wa wachezaji 30 kwa ajili ya msimu 2024/25 huku majina ya Lameck Lawi na Israel Mwenda yakikosekana. Simba walimtambulisha Lawi kama mchezaji waliyemsajili akitokea Coastal Union, lakini uongozi wa timu ya beki huyo ulikanusha na kuweka wazi kuwa bado ni mchezaji wao. Baada ya timu hizo kung’ang’aniana, Simba ilipeleka malalamiko Kamati…

Read More

Msako wa viuatilifu feki waja

Mbeya. Mamlaka ya afya ya mimea na viuatilifu nchini (TPHPA), inatarajia kufanya operesheni na msako wa kushtukiza nyumba kwa nyumba,  kubaini viwanda bubu na mashine zinazozalisha viuatilifu visivyo na ubora. Hatua hiyo inalenga kumlinda mkulima kuzalisha kwa tija, kuweka biashara shindani na kumlinda mlaji kupata chakula chenye ubora na  kulinda afya yake kuepuka magonjwa yakiwamo…

Read More

Bella, Konde Boy hawana jambo dogo

MASHABIKI wa Yanga mzuka umepanda wakati Kilele cha Mwananchi kitakapohitimishwa kesho Kwa Mkapa, jijini Dar es Salaam huku shoo nzima ikiachwa chini ya Harmonize a.k.a Konde Boy akishirikiana na Christian Bella pamoja na wakali wengine kulipamba tamasha hilo la sita tangu liasisiwe mwaka 2019. Harmonize aliyeachia wimbo maalumu wa tamasha hilo, ataliamsha mapema pamoja na Mfalme…

Read More

Waziri Silaa avunja bodi ya TTCL

Dar es Salaam. Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa amevunja bodi ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) baada ya mwenyekiti wake kutenguliwa na Rais Samia Suluhu Hassan, Julai 23, 2024. Bodi hiyo imevunjwa jana Agosti 2, 2024 na waziri huyo kutokana na mamlaka aliyonayo. Taarifa ya kuvunjwa bodi hiyo imetolewa leo…

Read More

Rais Samia: Wanasimba yaliyopita si ndwele tugange yajayo

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewatumia salamu Simba SC na kuwatakia kila la kheri katika msimu wa 2024-2025 huku akiwapa ujumbe wa upambanaji. Katika salamu zake hizo, Rais Samia ambaye mwaka jana alikuwa mgeni rasmi kwenye Simba Day huku mwaka huu akishindwa kuhudhuria akibainisha kwamba alikuwa na ziara ya kikazi,…

Read More

Walalamika kuchunguliwa wakati wa kujifungua Tabora

Tabora. Baadhi ya wanawake waliopata huduma ya kujifungua kwenye Zahanati ya Isevya iliyopo Manispaa ya Tabora wameiomba Serikali kujenga uzio mrefu kuzunguka zahanati hiyo ili kukomesha watu wasio na maadili wanaowachungulia. Wanawake hao wanasema wakati wa wakijifungua kuna baadhi ya watu wenye rika la vijana huwachungulia kupitia mwanya uliopo kutokana na eneo la hospitali kutokuwa…

Read More