Ahadi hiyo imetolewa na Mkuu wa Idara ya KilimoBiashara wa NMB, Nsolo Mlozi, alipozungumza katika banda la benki hiyo kwenye Maonesho ya 31 ya Kilimo
Month: August 2024

MSHAMBULIAJI wa Simba, Fredy Michael ametabiriwa kuwa mfungaji bora wa Ligi Kuu Bara msimu ujao, huku Kibu Denis akisamehewa na wana Msimbazi baada ya sakata

Kikosi cha klabu ya Simba msimu wa 2024/25 1. Ally Salimu 2.Ayoub Lakred 3.Husen Abel 4.Mussa Camara 5.Hussein Kazi 6.Kelvin Kijili 7.Che

Dar es Salaam. Serikali kupitia Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma, imetangaza ajira 6,257 za kada mbalimbali. Kada za ununuzi, udereva, ofisa

Na Mwandishi Wetu TIMU ya wanasheria wa kampeni ya Mama Samia Legal Aid imeambatana na Rais Samiua Suluhu Hassan kwenye ziara yake ya mkoani Morogoro

HIVI karibuni Mwanaspoti liliripoti kuwa Straika wa Simba ametoroka kambini na leo kwenye kilele cha siku ya ‘Simba Day’ mchezaji huyo hajaonekana. Simba leo inaadhimisha

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amesema Serikali imedhamiria kwa dhati kuleta mageuzi ya kilimo, kukitoa kwenye mazoea na kukifanya kiwe cha biashara na

WACHEZAJI 100 wameshiriki mashindano ya siku moja ya ‘KCB East Afrika Golf Tour’ ambayo yamefanyika katika viwanja vya Lugalo gofu Kawe jijini Dar es Salaam.

MDAU wa Simba, Mohammed Soloka amesema mwitikio mkubwa wa mashabiki wa timu hiyo kujaza Uwanja wa Mkapa ni kielelezo cha kiu yao kutaka kuiona timu

Ni Agosti 3, 2024 ambapo Mashabiki wa Simba Sports Club wamefika katika Uwanja wa Benjamini Mkapa kusherehekea siku yao maalum waliyoipa kwa jina la