Fredy atabiriwa ‘Top Scorer’, Kibu asamehewa

MSHAMBULIAJI wa Simba, Fredy Michael ametabiriwa kuwa mfungaji bora wa Ligi Kuu Bara msimu ujao, huku Kibu Denis akisamehewa na wana Msimbazi baada ya sakata lake la kutojiunga na kambi ya kikosi hicho iliyofanyika Misri. Awali, Kibu alipewa likizo ya muda na uongozi akaenda Marekani kwa mapumziko kabla ya kurejea nchini na kisha kutimkia Norway…

Read More

HIKI HAPA KIKOSI CHA MSIMBA MSIMU WA 2024/25 – MWANAHARAKATI MZALENDO

    Kikosi cha klabu ya Simba msimu wa 2024/25   1. Ally Salimu 2.Ayoub Lakred 3.Husen Abel 4.Mussa Camara 5.Hussein Kazi 6.Kelvin Kijili 7.Che Malon Fondo 8.Shomari Kapombe 9.Abduraz 10. Valentine Nouma 11.Mohamed Hussein 12.David Kameta 13.Karaboue Chamou 14.Mzamiru Yasin 15.Kibu Denis 16.Awesu Awesu 16.Saleh Karabaka 17.Debora Fenandes 18.Edwin Balua 19.Augustine Okejepha 20.ladak Chasambi…

Read More

Serikali yatangaza ajira mpya | Mwananchi

Dar es Salaam. Serikali kupitia Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma, imetangaza ajira 6,257 za kada mbalimbali. Kada za ununuzi, udereva, ofisa kilimo, wasaidizi wa kumbukumbu, uhasibu, waandishi waendesha maoni, maofisa maendeleo ya jamii na wasaidizi wa hesabu ndizo zenye nafasi nyingi za ajira. Nafasi za ajira zimetangazwa leo Agosti 3, 2024…

Read More

Straika Simba aliyetoroka hayupo benchi 

HIVI karibuni Mwanaspoti liliripoti kuwa Straika wa Simba ametoroka kambini na leo kwenye kilele cha siku ya ‘Simba Day’ mchezaji huyo hajaonekana. Simba leo inaadhimisha kilele cha Simba Day ambayo iliambatana na burudani mbalimbali za soka ikiwemo mchezo wa Ligi ya vijana U-17 na ule wa kirafiki kati ya Simba Queens na Mlandizi Queens. Kwenye…

Read More

Dk Mwinyi: Mapinduzi ya kilimo kipaumbele Zanzibar

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amesema Serikali imedhamiria kwa dhati kuleta mageuzi ya kilimo, kukitoa kwenye mazoea na kukifanya kiwe cha biashara na chenye tija. Amesema Mapinduzi ya kilimo Zanzibar ni jambo la msingi na kupewa kipaumbele kwani kwa muda mrefu sekta hiyo haijaweza kutoa matokeo halisi yanayotarajiwa. Dk Mwinyi ametoa kauli hiyo…

Read More

SHINDANO LA GOFU KCB EAST AFRIKA LAANZA KWA KISHINDO DAR

WACHEZAJI 100 wameshiriki mashindano ya siku moja ya ‘KCB East Afrika Golf Tour’ ambayo yamefanyika katika viwanja vya Lugalo gofu Kawe jijini Dar es Salaam. Mashindano hayo yameshirikisha klabu zote nchini wakiwemo watoto (juniors) nchini na wachezaji kutoka nchi za Uganda, Rwanda, Kenya na Burundi. Akizungumza na Wanahabari Leo Agosti 03,2024 Jijini Dar es Salaam…

Read More

Soloka: Simba ni kama Real Madrid 

MDAU wa Simba, Mohammed Soloka amesema mwitikio mkubwa wa mashabiki wa timu hiyo kujaza Uwanja wa Mkapa ni kielelezo cha kiu yao kutaka kuiona timu yao mpya. Soloka amesema mashabiki wenzake wengi wamefurahishwa na namna uongozi wa klabu hiyo ulivyojenga kikosi kipya chenye wachezaji wengi vijana. Kigogo huyo amesema wachezaji waliosajiliwa ni wenye vipaji vikubwa…

Read More