Samia ataka udhibiti migogoro ya wakulima, wafugaji kuanzia Tanzania
Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amezitaka halmashauri zote nchini kuwasimamia wenyeviti wa serikali za vijiji kuwa watatuzi wa migogoro ya wakulima na wafugaji badala ya kuwa wepesi wa kunyoosha mikono kupokea fedha. Amesema kufanya hivyo, kutawezesha kukabili migogoro ya wakulima na wafugaji katika wilaya mbalimbali nchini. Rais Samia ameyasema hayo leo Jumamosi, Agosti…