Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt, Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Wakulima na Wafugaji jamii ya Masai wakati wa
Month: August 2024

Na Esther Mnyika, Dodoma Taasisi ya Utafiti wa Uvuvi Tanzania (TAFIRI) imesema imekuja na mfumo wa kidigitali ambao utarahisisha uvuvi na utaunganisha wavuvi, wauzaji, wachuuzi

Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limewasilisha huduma mbalimbali katika Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo Nanenane mwaka huu, zilizolenga kuwasaidia wakulima

SIMBA Queens imeibuka na ushindi wa mabao 7-0 katika mchezo wa kirafiki dhidi ya Mlandizi Queens uliochezwa Uwanja wa Benjamin Mkapa kwenye kilele cha Tamasha

Maofisa wa Msaada wa Kisheria wakisikiliza wananchi waliofika kwenye banda la maonesho la Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia katika viwanja vya nanenane

Dodoma. Safari ya kupatikana mshindi wa urais katika uchaguzi wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), ilianza saa 12.30 asubuhi ya Agosti 2, 2024, pale wanachama

Njombe. Tanzania inatarajia kuanza uzalishaji wa chuma ndani ya nchi katika miaka mitatu ijayo, baada ya kupatikana mwekezaji ambaye atatekeleza mradi huo katika Wilaya ya

Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso amesema Serikali inajenga miradi ya maji 8 yenye thamani ya zaidi ya Bilioni 15 kwa lengo la kuboresha hali

Dar/Moshi. Serikali imetoa tahadhari kwa wananchi kuchukua hatua za kujikinga na ugonjwa wa homa ya nyani (Mpox) unaosambaa kupitia majimaji ya mwili ikiwemo mate, matapishi,

MASTAA wa zamani wa Yanga Princess, viungo Precious Christopher na Saiki Atinuke ni miongoni mwa wachezaji waliocheza kwenye mechi ya kirafiki kati ya Simba Queens