KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA SHERIA NDOGO YATEMBELEA TRC

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Sheria Ndogo imekutana na kuzungumza na Menejimenti ya Shirika la Reli Tanzania (TRC) kuhusu Kanuni za Matumizi ya Miundombinu ya Reli kwa watoa Huduma Binafsi ya 2024, inayosimamiwa na Shirika hilo jijini Dar es Salaam 2 Agosti 2024. Akizungumza mara baada ya mazungumzo hayo Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mheshimiwa…

Read More

Kilele cha Wiki ya Mwananchi… Shoo ya kibingwa

WANANCHI mzuka umepanda wakati klabu ya Yanga ikihitimisha Kilele cha Wiki ya Mwananchi ikiwa na kauli mbiu ya Nyie Hamuogopi, kinachofanyika leo Jumapili kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam, ikiwa ni sherehe maalumu ambazo uashiria msimu mpya. Tamasha hilo huchagizwa na wasanii mbalimbali ambao hujitokeza kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa kwa ajili…

Read More

Picha: Kutoka kwenye shamra shamra za Simba Day Kwa Mkapa….

Ni Agosti 3, 2024 ambapo Mashabiki wa Simba Sports Club wamefika katika Uwanja wa Benjamini Mkapa kusherehekea siku yao maalum waliyoipa kwa jina la Unyama Mwingi yaani Simba Day ambayo inaambatana na utambulisho wa kikosi kipya cha timi hiyo ambacho kitashirikisha katika michuano ya Msimu wa 2024/25 unaotarajiwa kuanza hivi karibu siku zijazo. Unaweza ukatazama…

Read More

Simba Day bado kidogo iwe full house

MASHABIKI wa Simba hawana jambo dogo hivyo unavyoweza kusema baada ya kubakiza kama robo ya uwanja kabla ya kuujaza Uwanja wa Mkapa zikiwa zimebaki saa tano shughuli ya utambulisho wa kikosi kipya cha msimu ujao haujafanyika. Licha ya nje ya uwanja kuonekana kuwa na mashabiki kibao, ila ndani ya uwanja ni maeneo machache yamebaki ili…

Read More

HISTORIA YAANDIKWA UTEKELEZAJI MRADI WA CHUMA MAGANGA MATITU

Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Tanzania imeandika historia mpya ya matumizi ya rasilimali zake kufuatia kusainiwa kwa utekelezaji wa mradi wa uchimbaji wa chuma wenye thamani ya dola milioni 77. Mradi huo ambao utatekelezwa katika eneo la Maganga Matitu Wilayani Njombe unatarajiwa kuchochea maendeleo ya viwanda nchini na hivyo kukuza…

Read More

WIZARA YA FEDHA YAPAMBA MAONESHO YA NANE NANE – DODOMA

Afisa Tehama Mwandamizi, Idara ya kutoka Wizara ya Fedha, Bi. Zaina Mwanga (kulia), akimwelekeza Mkazi wa jiji la Dodoma, Bw. Godfrey Msambwa, namna ya kupakua Application ya GePG inayorahisisha kulipia malipo ya huduma za Serikali, wakati alipotembelea Banda la Wizara ya Fedha katika Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo Nane Nane, yanayofanyika katika viwanja vya Nane…

Read More