Shirika la Mawasiliano Tanzania -TTCL ni miongoni wa Wadau wanaoshiriki katika maonesho ya 31 ya Kilimo,Mifugo na Uvuvi yanayofanyika kitaifa katika Viwanja vya Nanenane
Month: August 2024

Mkuu wa Mkoa wa Tanga Balozi Dkt. Batilda Buriani amekipongeza Chuo Kikuu Cha Sokoine Cha Kilimo SUA Kwa kufanya Tafiti zenye tija katika sekta ya

MENEJIMENTI ya Uwanja wa Benjamin Mkapa, umejiongeza ili kuwarahisisha kazi mashabiki wa Simba waliojitokeza kushangweka na Tamasha la Simba Day, baada ya kuongeza mageti zaidi

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amesema kutokuwepo kwa chakula ndiko kutawafanya vijana wa kizazi cha Z maarufu Gen Z, waingie barabarani. Mkuu huyo

VITA ya mashindano ya Olimpiki kusaka medali ya dhahabu ya mchezo wa kikapu jijini Paris, Ufaransa inaendelea kuwa moto upande wa makundi, ambapo wababe wawili

Dar es Salaam. Kufuata ushindi alioupata, Rais mpya wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Boniface Mwabukusi, amesema atakirudisha chama hicho kwenye misingi yake. Katika uchaguzi

LONDON, ENGLAND: DIRISHA la usajili wa mastaa huko Ulaya bado halijafungwa na klabu mbalimbali bado zipo bize kwenye kuhakikisha zinanasa saini za wachezaji wapya ili

‘UBAYA UBWELA’ hadi kieleweke zimesikika sauti za mashabiki wa Simba ambao wamekaa katika nguzo za umeme wakisubiri foleni ya kuingia uwanjani. Nguzo hizo za chuma

SIMBA hawana jambo dogo, achana na nyomi la watu waliokuwa wanaingia uwanjani kushuhudia timu hiyo ikiadhimisha kilele cha siku ya Simba Day lakini uwanjani hapo

ZIKIWA zimebaki saa nane kabla ya wana Simba kushuhudia kikosi kipya cha msimu wa 2024/25, hapa Benjamin Mkapa Ubaya Ubwela ni mwingi, hii ni baada