
TTCL YATINGA NANENANE 2024 .
Shirika la Mawasiliano Tanzania -TTCL ni miongoni wa Wadau wanaoshiriki katika maonesho ya 31 ya Kilimo,Mifugo na Uvuvi yanayofanyika kitaifa katika Viwanja vya Nanenane Nzuguni, jijini Dodoma kuanzia tarehe Agosti 1 hadi Agosti 8,2024. Shirika hilo linashiriki kwa lengo la kuhakikisha wananchi wanaotembelea maonesho ya Nanenane wanapata elimu kuhusu huduma na bidhaa zinazotolewa na…