Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: August 2024

  • Home
  • 2024
  • August
  • Page 318
Michezo

Simba Day 2024, kibabe sana

August 3, 2024 Admin

SIMBA ilimaliza msimu uliopita ikiwa nafasi ya tatu kwa kuvuna pointi 69, sawa na Azam FC waliomaliza katika nafasi ya pili, lakini Azam waliongoza kwa

Read More
Michezo

Mahakama yazuia uchaguzi wa Chama cha soka Temeke

August 3, 2024 Admin

Mahakama Kuu, Masjala Ndogo Dar es Salaam, imezuia kufanyika kwa uchaguzi wa Chama cha Soka Wilaya ya Temeke (Tefa) uliokuwa umepangwa kufanyika kesho, Agosti 4,

Read More
Habari

Gwajima: Walezi wa kuaminika wapatiwe vitambulisho

August 3, 2024 Admin

  Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dk. Gwajima amemuagiza Kamishna wa Ustawi wa Jamii nchini Dk. Nandera Mhando kuhakikisha walezi

Read More
Habari

Serikali: Hakuna mgonjwa wa Mpox Tanzania

August 3, 2024 Admin

  Wizara ya Afya imesema kuwa mpaka sasa Tanzania ni salama na hakuna mgonjwa yoyote aliyepatikana na ugonjwa wa Mpox ambao awali ukijulikana kama homa

Read More
Habari

NAIBU WAZIRI MHE.SANGU APATA MAPOKEZI MAKUBWA MKOANI RUKWA, AMSHUKURU RAIS SAMIA KWA KUMTEUA

August 3, 2024 Admin

Naibu Waziri,  Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na UtawalaBora, Mhe. Deus Sangu  akizungumza leo na wananchi wa Kata ya Kaengesha , Jimbo

Read More
Habari

Sh85 milioni kuboresha mazingira ya wavuvi Bagamoyo

August 3, 2024 Admin

Bagamoyo. Katika juhudi za kulinda mazingira ya bahari na mazalia ya samaki, vijiji vya Pande na Kaole vilivyo katika kata za Zinga na Dunda mkoani

Read More
Habari

DARAJA LA BEREGA LIMEKUWA MKOMBOZI KWA WANANCHI KILOSA NA KILINDI

August 3, 2024 Admin

NA OR-TAMISEMI IMEELEZWA kuwa kujengwa kwa daraja la Berega lililopo Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro limewaondolea adha wanawake na watoto ambao walikuwa wakipoteza maisha kwa

Read More
Habari

WAZIRI MCHENGERWA KUGHARAMIA MASOMO YA WATOTO 10 WA RUFIJI CHUO CHA VETA

August 3, 2024 Admin

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Mohamed Mchengerwa amesema atagharamia gharama za masomo kwa watoto 10 wa

Read More
Habari

Gridi ya taifa ina umeme wakutosha -Rais Samia

August 3, 2024 Admin

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema mfumo wa gridi ya Taifa una umeme wa kutosheleza mahitaji ya kijamii

Read More
Habari

WAHITIMU WA CHUO CHA SAYANSI ZA AFYA KOLANDOTO WAASWA KUTUMIA ELIMU YAO KWA MANUFAA YA JAMII

August 3, 2024 Admin

  Mkuu wa Chuo cha Sayansi za Afya Kolandoto, Shinyanga, Mwl. Paschal Shiluka akizungumza kwenye mahafali ya 12.   Na Elisha Shambiti – Misalaba Media

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 317 318 319 … 343 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.