SERIKALI YATENGA FEDHA KUNUNUA VITABU VYA MAKTABA NCHINI

NA MWANDISHI WETU SERIKALI imetenga fedha katika Bodi ya Maktaba Tanzania kwa ajili ya ununuzi wa vitabu ili kuwezesha watanzania kupata vitabu na kujenga tabia ya usomaji. Hayo yameelezwa Agosti 02, 2024 Jijini Dar es Salaam na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof.Adolf Mkenda wakati wa Uzinduzi wa Kitabu cha Riwaya chenye jina Tangled…

Read More

WAKILI NKUBA APINGA MATOKEO YA URAIS TLS MAHAKAMANI

  ALIYEKUWA urais wa Chama Cha Mawakili Tanganyika (TLS), Wakili Sweetbert Nkuba, akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma mara baada ya kutangazwa kwa matokeo ambapo amepiga matokeo hayo mahakamani yaliyompa ushindi Wakili Boniface Mwabukusi . Na Mwandishi Wetu ALIYEKUWA urais wa Chama Cha Mawakili Tanganyika (TLS), Wakili Sweetbert Nkuba ametangaza kupinga matokeo mahakamani yaliyompa…

Read More

VIDEO: Mwabukusi rais mpya TLS, yaliyombeba haya hapa

Dar es Salaam. Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kimemtangaza Boniface Mwabukusi kuwa rais wa chama hicho, huku misimamo na ujasiri wake vikitajwa kuwa miongoni mwa turufu zilizompa ushindi. Mwabukusi ametangazwa mshindi wa kiti hicho kwa kupata kura 1,274 ambazo ni sawa na asilimia 57.4 dhidi ya washindani wake Sweetbert Nkuba, Revocutus Kuuli, Ibrahim Bendera, Paul…

Read More

FOREST ROCK KASINO KUSANYA MAMILIONI YA MERIDIANBET

Sloti ya Forest Rock Kasino ya Meridianbet inakupeleka hadi kwenye msitu wenye wanyama pori ambao, watakupa ushindi muda wowote unapokutana nao. Jisajili Meridianbet kisha ingia upande wa Kasino ya Mtandaoni. Katika Kasino ya Mtandaoni Meridiannbet kuna Sloti ya Forest Rock ina muundo wa kizamani wenye kolamu 5 na mistari 15 ya ushindi. Suala la kuchagua…

Read More

ALIYEKUWA MGOMBEA URAIS TLS AKATAA MATOKEO YA UCHAGUZI, ADAI UVUNJIFU WA KANUNI – MWANAHARAKATI MZALENDO

Katika hali isiyotarajiwa, Sweetbert Nkuba, aliyekuwa mgombea wa urais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), amekataa matokeo ya uchaguzi yaliyomtangaza mpinzani wake wa karibu, Mwabukusi, kuwa mshindi. Nkuba, ambaye alipoteza kwa zaidi ya kura 400 katika uchaguzi uliofanyika jana, anadai kuwa mchakato huo ulijawa na ukiukwaji mkubwa wa kanuni. Akizungumza na waandishi wa habari baada…

Read More