RAIS MWINYI AHIMIZA AMANI NA UTULIVU – MWANAHARAKATI MZALENDO

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi amewahimiza waumini wa Dini ya Kiislamu kuendelea kuiombea nchi dua na viongozi wake waendelee kudumisha amani, mshikamano utulivu kuelekea uchaguzi mkuu mwakani. Dkt.Mwinyi aliyasema hayo alipojumuika na Waumini wa Dini ya Kiislamu katika Sala ya Ijumaa Msikiti wa Rahman Taveta, Mkoa wa…

Read More

Simba Day 2024, Ubaya Ubwela

ILE siku ndio leo. Kilele cha wiki ya Simba kitafanyika Wanasimba zaidi ya 60,000 watakutana kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa kukamilisha vaibu lao la kuukaribisha msimu mpya chini ya kauli mbiu ya Ubaya Ubwela. Ndio siku ya furaha zaidi kwa Wanasimba. Saa chache zijazo wanakwenda kushuhudia furaha mpya baada ya kupitia miezi kadhaa ya machungu…

Read More

Baleke, Boka washusha presha… Sasa mambo freshi

SIKU moja kabla ya kufanyika kwa Kilele cha Wiki ya Mwananchi, nyota wawili wapya wa timu hiyo, beki Chadrack Boka na straika Jean Baleke wameshusha presha ya mabosi na mashabiki baada ya sasa kuwa na uhakika wa kutumika ndani ya kikosi hicho cha Jangwani. Awali ilikuwa ikielezwa huenda Yanga isingewatumia wachezaji hao katika mechi za…

Read More