
Wananchi Morogoro: Hatuna deni na Rais Samia
BAADHI ya wananchi wa Mkoa wa Morogoro, wamesema hawana deni na Rais Samia Suluhu Hassan, kwa kuwa ahadi nyingi alizotoa amezitekeleza. Anaripoti Mwandishi Wetu, Morogoro … (endelea). Maelezo hayo ya wananchi yametolewa leo tarehe 2 Agosti 2024 na wananchi hao baada ya kusikiliza hotuba iliyotolewa na Rais Samia, Dumila wilayani Gairo, Morogoro. Pia, wamesema…