VITUO 43 VYA TOHzARA RUVUMA KUPEWA VISHIKWAMBI

  Na Albano Midelo Vituo 43 vinavyotoa huduma za tohara katika Mkoa wa Ruvuma vitakabidhiwa vishikwambi 84 vyenye thamani ya shilingi milioni 39 vilivyotolewa na Taasisi ya HJF Medical Research International. Vishikwambi hivyo vimekabidhiwa na Mwakilishi wa Taasisi hiyo, Dr. Joshua Mwakanyamale, kwa Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Ruvuma, Dr. Louis Chomboko, katika hafla iliyofanyika…

Read More

Akutwa amefariki kwenye kisima cha maji Mbozi

Songwe. Kijana aliyefahamika kwa jina la Daniel Siyame (23) mkazi wa Mtaa wa Ilolo wilayani Mbozi amekutwa amefariki dunia kwenye kisima cha maji. Tukio hilo limebainishwa leo Agosti 2, 2024, majira ya asubuhi na mtoto wa mmiliki wa kisima hicho, Samweli Kisanga, wakati wa kuchota maji, aliposhtuliwa na harufu kali kwenye maji. Kisanga amesema kisima…

Read More

MWALIMU WA Kings Sekondari aliyemchapa Mwanafunzi kupita kiasi kwa madai ya kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja ahukumiwa gerezani

  Na Karama Kenyunko Michuzi Tv  MWALIMU wa shule ya sekondari ya Kings iliyopo Goba jijini Dar es Salaam Yusuph Mirambi (43), amehukumiwa kutumikia kifungo cha miezi sita gerezani na kulipa faini ya Sh. Milioni mbili baada ya kupatikana na hatia ya ya kumuadhibu mwanafunzi wake wa kidato cha pili isivyohalali. Hukumu hiyo imesomwa na…

Read More

TUNZENI HOSPITALI KWA MASLAHI YA UMMA KUPATA HUDUMA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewataka viongozi wa Hospitali ya Wilaya ya Gairo Mkoani Morogoro pamoja na wananchi kuitunza na kuisimamia vizuri Hospitali ya Wilaya hiyo ili iendelee kutoa huduma kwa wananchi.  Rais Samia amesema hayo leo Agosti 2, 2024 baada ya kuzindua Hospitali ya Wilaya ya Gairo…

Read More

BIL. 843 ZAJENGA HOSPITALI ZA WILAYA 129 NCHINI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Mohamed Mchengerwa amesema kwa kipindi cha miaka 3 ya Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan shilingi Bili. 843 zimetolewa kwa ajili ya ujenzi wa Hospitali za Wilaya 129 nchini kote. Waziri Mchengerwa ameyasema hayo mbele…

Read More

Makaburi yaliyozikwa vitambaa vyeupe yazua kizazaa Tabora

Kaliua. Wananchi wamepatwa na taharuki baada ya uwepo wa makaburi mawili kubwa na dogo ambayo hayakuwa na watu bali yakiwa yamezikwa vitambaa vyeupe. Tukio hilo limetokea Julai 27, 2024 katika Kitongoji cha Usinga, Kata ya Ukumbisiganha, Wilaya ya Kaliua, mkoani Tabora ambapo wananchi walishangazwa uwepo wa makaburi hayo bila uwepo wa matangazo ya msiba. Afisa…

Read More

TANZANIA YAJIPANGA KUFANYA VIZURI KATIKA KRIKETI AFRIKA

Na Mwandishi Wetu KOCHA wa timu ya taifa ya vijana chini ya miaka 19 ya mchezo wa kriketi, Salum Jumbe, amesema wamejiandaa vizuri kuhakikisha wanafanya vizuri kwenye ardhi ya nyumbani katika mashindano ya mchezo huo ya divisheni ya pili Afrika. Michezo hiyo ilianza kutimua vumbi jana kwenye viwanja vya Gymkhana jijini Dar es salaam ambapo…

Read More

MAAGIZO MATANO YA DKT. BITEKO NANENANE MBEYA

Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati. Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ametoa maagizo matano kwa Wizara ya Kilimo, Taasisi na Mikoa yanayolenga kukuza na kuimarisha sekta ya kilimo, mifugo na uvuvi nchini. Dkt. Biteko ametoa maagizo hayo leo Agosti 2, 2024 jijini Mbeya wakati akifungua Sherehe…

Read More

MTANZANIA MWENYE UMRI WA MIAKA 17 AANZISHA MASHINDANO MPIRA WA MIGUU SHULE ZA SEKONDARI

Na Mwandishi Wetu, Arusha Mtanzania Ashok Mittal (17), anayesoma elimu ya juu Dubai katika falme za nchi za Kiarabu (UAE), ameanzisha mashindano ya mpira wa miguu kwa vijana wa shule za Sekondari kwa lengo la kuhamasisha michezo kwa vijana shuleni. Mashindano hayo yaliyoanza Leo Agosti1,2024 yanayojulikana kama ” Champion of Tomorrow” yameshirikisha timu nane za…

Read More