Mameja jenerali wanne, mabrigedia wawili waagwa JWTZ

Dar es Salaam. Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (CDF), Jenerali Jacob Mkunda leo Ijumaa Agosti 2, 2024 ameongoza hafla ya kuwaaga majenerali sita wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) waliostaafu kulitumikia jeshi hilo. Hafla hiyo imefanyika Kambi ya Jeshi ya Twalipo iliyopo Temeke, jijini Dar es Salaam. Walioagwa ni pamoja na…

Read More

Dabo aiwahi Azamka in Rwanda

KOCHA wa Azam FC, Youssouph Dabo amemaliza mafunzo na kuliwahi pambano la Tamasha ya Rayon Sport linalofanyika kjijini KIgali, Rwanda likienda kwa jina la Azamka in Rwanda, huku akitamba kwamba kila kitu alikuwa anakijua na kwamba mashabiki wa timu hiyo wasubiri burudani kesho Jumamosi. Dabo aliondoka kambi ya Azam iliyokuwa Morocco ili kuja kupiga brashi…

Read More

Doyo akwaa kisiki rufaa kupinga uchaguzi ADC

Dar es Salaam. Kamati ya Rufaa ya Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), imetoa majibu ya rufaa iliyokatwa na aliyekuwa mgombea uenyekiti wa chama hicho, Doyo Hassan Doyo, ambaye ameshindwa katika rufaa hiyo. Rufaa hiyo yenye kurasa sita ambayo Mwananchi imeiona leo Ijumaa Agosti 2, 2024  Doyo amekiri kuipokea jana Agosti Mosi, 2024 saa…

Read More

DC LULANDALA AKAGUA MABANDA MAONYESHO NANE NANE ARUSHA

Na Mwandishi wetu, Arusha MKUU wa Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, Fakii Raphael Lulandala amekagua mabanda ya maonyesho ya 30 ya kilimo ya nane nane kanda ya Kaskazini yanayofanyika viwanja vya Themi Njiro jijini Arusha na kuridhika na maandalizi yaliyofanyika. Kauli mbiu ya maonyesho hayo kwa mwaka huu wa 2024 ni chagua viongozi wa serikali…

Read More

Willy Onana ampisha Camara Simba

UJIO wa kipa mpya kutoka Guinea, Moussa Camara ‘Spider’ umemfanya winga wa Simba, Willy Onana kung’oka Msimbazi baada ya taarifa kuvunja ni yeye ndiye anayempisha kipa huyo aliyetua kuziba nafasi ya Ayoub Lakred aliyeumia kambini Misri. Taarifa ambazo Mwanaspoti tangu awali ilishazidokeza katika matoleo ya nyuma kwamba, kipa huyo aliyepewa mkataba wa miaka miwili akitua…

Read More

ZRA Julai yakusanya Billioni 53.322

Mamlaka ya mapato Zanzibar ZRA katika taarifa yake ya kwa walipa kodi imesema katika mwezi wa Julai wa mwaka wa Fedha 2024/2025 ikikadiriwa kukusanya Tsh 50.490 Billioni na imefanikiwa kuvuka lengo katika mwezi Julai akisoma Taarifa hiyo Said Ali Mohammed ambae ni Kaimu Kamishna Mkuu wa ZRA amesema mamlaka ya mapato Zanzibar imefanikiwa kukusanya Tsh…

Read More