TRC yaomba radhi treni ya SGR kupata hitilafu

Dar es Salaam. Shirika la Reli Tanzania (TRC) limewaomba radhi abiria waliosafiri kutoka Dodoma kwenda Dar es Salaam na treni ya kisasa (SGR) jana Alhamisi, Agosti 1, 2024 kutokana na hitilafu iliyojitokeza. Taarifa ya TRC iliyotolewa leo Ijumaa, Agosti 2, 2024 na Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano wa shirika hilo, Jamila Mbarouk imesema kutokana na…

Read More

NYUMA YA PAZIA: Moussa Diaby ameona mambo yasiwe mengi

UTAAMUA unachotaka katika maisha. Na wakati mwingine ukitaka kumuua nyani usimtazame sana usoni. Rafiki yetu Mfaransa Moussa Diaby ameamua kutomuangalia sana nyani usoni. Katika mfano huu mgeuze nyani kuwa maisha yako ya kawaida. Yeye hatakuwa wa kwanza na wala hawezi kuwa wa mwisho. Diaby alitua England msimu mmoja uliopita akitokea Bayer Leverkusen. Aliamua kuvaa jezi…

Read More

Ukaguzi wa CAG wabaini madudu ujenzi hospitali 11

Unguja. Ukaguzi uliofanywa na Mdhibiti na Mkaguzi wa Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), umebaini dosari katika ujenzi wa hospitali 10 za wilaya na moja ya mkoa, zikisababisha hasara ya mamilioni ya fedha na muundo wa majengo kuwa chini ya viwango. Mbali na hayo, maeneo ya ujenzi hayakufanyiwa uchunguzi na mjiolojia kubainisha usalama wa ardhi,…

Read More

Nane zaliamsha Dar Kriketi ya Dunia U19

NCHI nane zimeliamsha jijini Dar es Salaam katika mashindano ya Kriketi ya kuwania kufuzu Kombe la Dunia kwa vijana wenye umri wa chini ya miaka 19 barani Afrika, Tanzania ikiwa wenyeji. Mashindano hayo yaliyozipanga timu hizo nne katika makundi mawili A na B yameanza jana kwenye viwanja vya Gymkhana, jijini Dar es Salaam inatarajia kuchezwa…

Read More

Meja General Charles Mang’era aagwa rasmi jeshini

Meja General Charles Mang’era Mbuge leo ameagwa rasmi Jeshini baada ya kulitumikia Jeshi kwa zaidi ya miaka 38 amragwa kwa kukagua gwaride rasmi la Kijeshi katika Viwanja vya Mgulani (Twalipo Admistration Unit-TAU) Jijini Dar es salaam. Mbuge amepitia katika nafasi mbalimbali za Uongozi baadhi ni Mkuu wa JKT, Mkuu wa Mkoa Kagera, Mkurugenzi wa Idara…

Read More

Rais Samia azindua hospitali Gairo

Na Mwandishi wetu Rais Dk. Samia Suluhu Hassan ameanza ziara ya kikazi mkoani Morogoro leo Agosti 02,2024, ambapo amezindua Hospitali ya Wilaya ya Gairo. Pamoja na uzinduzi huo, amehutubia wananchi  wa  Wilaya ya Gairo  walijitokeza kwa wingi katika  mkutano wa hadhara uliofanyika uwanja wa Shule ya Msingi Gairo. Akizungumza na wananchi hao,Rais  Samia amesema  changamoto…

Read More

Mitihani migumu aliyopitia Waziri Stergomena Tax

Dar es Salaam. Pengine kila anayeonekana na mafanikio leo, zipo nyakati ngumu alizopitia jana ambazo kama si kuvaa kibwebwe asingeupata umaarufu alionao. Katika hili, Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk Stergomena Tax ni kielelezo sahihi; anayesimulia magumu aliyowahi kupitia katika safari yake ya kuisaka elimu. Kwa mujibu wa waziri huyo ambaye ni…

Read More