Kibu Denis amerudi kimya kimya

Mshambuliaji wa Simba, Kibu Denis ameungana na nyota wa kikiosi cha Simba SC tayari kwa maandalizi ya msimu mpya huku uongozi wa timu hiyo ukiweka wazi kuwa adhabu yake ipo pale pale kwa sababu alikiuka utaratibu. Staa huyo hakuwa pamoja na timu Misri ilipoweka kambi ya kujiandaa na msimu wa 2024/25 alitimka nchini kwenda Norway…

Read More

WITO WA RAIS SAMIA WA KUONGEZA UZALISHAJI WA KILIMO GAIRO, ISHARA YA KUKUA KWA UCHUMI – MWANAHARAKATI MZALENDO

Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa ahadi kubwa kwa wakazi wa Wilaya ya Gairo, akilenga kuboresha miundombinu na huduma za kijamii. Baada ya kuzindua Hospitali ya Wilaya ya Gairo, Rais Samia alieleza kuwa serikali imejizatiti kuboresha miundombinu ya umeme na maji. Kwa mfano, kituo kidogo cha umeme kilichojengwa Kongwa kitasambaza umeme hadi Gairo, na serikali…

Read More

Sababu mgonjwa kupata nafuu saa chache kabla ya kifo

Dar es Salaam. Kuna hadithi nyingi kuhusu uzoefu wa maisha ya mwisho ya binadamu. Wengine hubishana kwamba wanaofariki dunia huwa hawawezi kuhisi maumivu wala kusikia chochote kwa sababu wameshaingia katika ulimwengu mwingine. Wengine husema wanaofariki hupata nguvu nyingi, huagiza chakula wapendacho, huongea kama walishafikia hatua ya koma au husimama na kutembea. Hali hii huwafanya wanaomuuguza…

Read More

Shukran za Aziz Yanga SC

BAADA ya kutwaa tuzo nne za msimu uliopita, kiungo mshambuliaji wa Yanga, Stephane Aziz Ki amesema anajisikia kubarikiwa huku akimtaja kocha wa timu hiyo, Miguel Gamondi kuwa amehusika kwa asilimia kubwa. Aziz Ki amepata tuzo ya mfungaji bora, kiungo bora, mchezaji bora na ni mmoja wa wachezaji wanaounda kikosi bora cha msimu 2023/24. Mchezaji huyo…

Read More

Sloti ya Forest Rock kasino fanya haya ushinde

  KASINO ya Meridianbet inakupeleka hadi kwenye msitu wenye wanyama pori ambao, watakupa ushindi muda wowote unapokutana nao. Jisajili Meridianbet kisha ingia upande wa Kasino ya Mtandaoni. Katika Kasino ya Mtandaoni Meridiannbet kuna Sloti ya Forest Rock ina muundo wa kizamani wenye kolamu 5 na mistari 15 ya ushindi. Suala la kuchagua Meridianbet basi umechagua…

Read More

Rais Samia ataka mgawanyo mzuri wa watumishi

Dar es Salaam. Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amezitaka halmashauri nchini kuhakikisha zinawapanga vema watumishi walioajiriwa hivi karibuni ili wasaidie kutoa huduma katika maeneo yote, zikiwemo hospitali. Amesema Serikali kwa sasa haina uwezo wa kufikia asilimia 100 ya mahitaji ya watumishi, lakini angalau wachache waliopo wagawanywe ili wawanufaishe wananchi wote. Rais Samia ameyasema hayo…

Read More

Radio mpya yazinduliwa ‘Malkia Choice Fm 102.5’, Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa afika

Ni Agosti 2, 2024 ambapo Mke wa Joseph Kusaga aitwae Juhayna Ajmy ametambulisha rasmi Radio yake iitwayo Malkia Choice FM 102.5. Akizungumza katika Sherehe za uzinduzi huo uliofanya katika hoteli ya hyatt Jijini Dar es Salaam alisema..’Malkia Choice FM ni kituo cha kwanza cha redio kinachoongozwa na wanawake nchini Tanzania na Afrika kwa ujumla, lengo…

Read More