Viongozi wa masoko watajwa uuzaji vizimba

Dar es Salaam. Migogoro ya vizimba vya biashara kwenye masoko nchini ni suala linalojitokeza mara kwa mara. Kwa kiasi kikubwa migogoro hii huwaathiri wafanyabiashara, mamlaka za serikali za mitaa na maendeleo ya masoko kwa ujumla. Ufuatiliaji uliofanywa na Mwananchi katika baadhi ya masoko nchini, migogoro hiyo huchangiwa na utaratibu wa utoaji wa vizimba unaodaiwa kugubikwa…

Read More

Afya ya akili inavyostawisha, kudhoofisha unyonyeshaji

Dar es Salaam. Afya ya akili kwa mjamzito na mama anayenyonyesha inaelezwa na wataalamu wa afya kuwa ni muhimu kuzingatiwa, kwa sababu katika kipindi hicho, mama hupitia mabadiliko mbalimbali ya kimwili, kiakili na kihisia. Katika kuthibitisha hilo, Mwananchi imezungumza na baadhi ya wanawake wanaopitia hali hiyo, akiwamo Salma Suleiman, mkazi wa Kigogo jijini Dar es…

Read More

Ubaya Ubwela… Simba Day 2024 si mchezo

Kesho ndio kilele cha Tamasha la Simba Day kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam ambako wenyeji Simba SC wanatarajia kucheza mechi ya kirafiki dhidi ya APR ya Rwanda. Huu utakuwa ni msimu wa 16 wa Tamasha la Simba Day lililoasisiwa mwaka 2009 chini ya uongozi wa Mzee Hassan Dalali na Mwina Kaduguda. Kuelekea…

Read More

Aucho awagawa wadau tuzo za TFF

Dar es Salaam. Kitendo cha jina la kiungo wa Yanga, Khalid Aucho kutokuwa kwenye orodha ya wachezaji walioteuliwa katika kikosi bora cha msimu uliopita wa 2023/24 kimewaibua wadau mbalimbali wa soka la Tanzania na kutoa maoni tofauti huku wengi wakiamini Mganda huyo alistahili. Pazia la Ligi Kuu Bara msimu uliopita lilifungwa rasmi juzi, Jumatatu ya…

Read More

Yanga yatawala tuzo Ligi Kuu, yatoa onyo

Dar es Salaam. Yanga imetawala tuzo zilizotolewa na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) jana, huku ikiahidi kuchukua zote msimu ujao. Tuzo hizo kwa ajili ya wachezaji na makocha waliofanya vizuri msimu uliopita zilitolewa kwenye Ukumbi wa Super Dome, Masaki jijini Dar es Salaam, huku Aziz Ki akizoa tatu. Aziz Ki alionekana kutakata kwenye tuzo hiyo…

Read More

Kiongozi wa Hamas kuzikwa leo Qatar

  QATAR leo inatarajiwa kufanya mazishi ya kiongozi wa Hamas, Ismail Haniyeh, baada ya mauaji yake yaliyotokea huko Tehran Iran, katika shambulizi linalodaiwa kufanywa na Israel Haniyeh atazikwa katika maziara ya Lusail, kaskazini mwa Doha baada ya sala itakayofanywa katika msikiti mkubwa nchini Qatar wa Imam Muhammad bin Abdul Wahhab. Hamas imesema kwamba viongozi wa…

Read More