Kiongozi wa Hamas kuzikwa Qatar – DW – 02.08.2024

Mwili wa Ismail Haniyeh uliwasili tangu jana Alhamisi katika mji mkuu wa Qatar, Doha tayari kwa mazishi na baadhi ya picha zilizochapishwa kwenye mitandao ya kijamii zikimuonyesha mkewe Amal akiomboleza kwenye jeneza la mumewe kabla ya kuzikwa. “Wewe ni msaada wangu kwenye maisha ya sasa na ya baadae. Kipenzi changu. Wasalimie mashahidi wa Gaza, wasalimie…

Read More

TLS wachaguana, rais kutangazwa saa 11 jioni

Dodoma. Upigaji kura kwenye uchaguzi wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) umekamilika na matokeo yanatarajiwa kutangazwa saa 11.00 jioni leo Agosti 2, 2024 mara baada ya kura kuhesabiwa. Wagombea sita wanawania urais katika uchaguzi huo ambao ni Boniface Mwabukuzi, Ibrahim Bendera, Emmanuel Muga, Revocatus Kuuli, Paul Kaunda, na Sweetbert Nkuba na wengine kwenye nafasi nyingine…

Read More

Urusi, mataifa ya Magharibi wabadilishana wafungwa – DW – 02.08.2024

Marekani na Urusi zimekamilisha shughuli ya kubadilishana wafungwa, baada ya Moscow kuwaachilia mwandishi wa habari Evan Gershkovich, mwanajeshi wa zamani wa majini wa Uingereza  Paul Whelan pamoja na baadhi ya wakosoaji wa Urusi akiwemo mwanaharakati mwenye uraia wa Urusi na Uingereza Vladimir Kara-Murza. Alsu Kurmasheva, mwandishi wa habari mwenye uraia pacha wa Urusi na Marekani…

Read More

Watu 13 wauawa katika siku ya kwanza ya maandamano Nigeria – DW – 02.08.2024

Mamlaka nchini Nigeria zimethibitisha kuuawa kwa watu wanne kutokana na shambulizi la bomu na kukamatwa kwa mamia ya waandamanaji, hatua iliyochochea marufuku ya kutotoka nje katika majimbo kadhaa. Soma pia:Polisi Nigeria wafyatua gesi ya machozi kutawanya waandamanaji Katika mahojiano, mkurugenzi wa Amnesty International nchini Nigeria, Isa Sanusi, amesema shirika hilo lilithibitisha kwa njia huru mauaji…

Read More

DTB yabeba ndoo ya mabenki Dar

Timu ya Soka ya Diamond Trust Bank (DTB) imetawazwa kuwa bingwa mpya wa mashindano ya mabenki msimu huu yaliyofikia tamati usiku wa jana Agosti Mosi kwenye viwanja vya klabu ya Gymkhana, Dar es Salaam. DTB imeifunga timu ya CRDB benki bao 1-0 katika mchezo wa fainali uliokuwa na upinzani mkali kwa pande zote. Hadi kipindi…

Read More

RAIS SAMIA AWEKA HISTORIA KUBWA UZINDUZI WA SGR

Rais Samia aweka historia kubwa uzinduzi wa SGR  Samia anajenga kilomita 1,800 za reli ya SGR, huku Awamu ya 5 ikianzisha ujenzi wa kilomita 721  Tanzania sasa inaelekea kuwa na reli ndefu kuliko zote kwenye bara zima la Afrika  Rais Samia ametimiza ndoto za marais wote waliopita tangu Tanzania ipate uhuru Asilimia 86 ya reli…

Read More