Ni kwa nini ukapige kura uchaguzi wa serikali za mitaa

Dar es Salaam. Licha ya uwepo wa mitazamo kuwa kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa ni suala la kupoteza muda, upo ushahidi madhubuti unaoonesha tija ya kupiga kura au kuwania nafasi za uongozi katika uchaguzi huo. Kama umewahi kusikia kuhusu demokrasia na viungo vyake, uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mwingine wowote ni moja…

Read More

WAZEE WATAKIWA KUWAKEMEA VIJANA KUCHAGUA VIONGOZI BORA.

NA WILLIUM PAUL, SAME. WAZEE wilayani Same wametakiwa kukemea vijana wao kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa kujiepusha na vitendo vya kupokea au kutoa rushwa kushinikiza wagombea ili wawachague na badala yake washiriki kikamirifu kuchagua viongozi bora na waadilifu watakao simamia vyema fedha za miradi ya maendeleo zinazoletwa na Rais Dkt. Samia kwa wananchi wake….

Read More

Kesi ya ‘waliotumwa na afande’ kuendelea Agosti 30

Dodoma. Kesi ya jinai ya kubaka kwa kundi na kumwingilia kinyume cha maumbile binti wa Yombo Dovya jijini Dar es Salaam inayowakabili washtakiwa wanne imeahirishwa hadi Agosti 30, 2024. Hatua hiyo inalenga kupisha maamuzi madogo ya ombi la mapitio ya kesi hiyo lililofunguliwa Agosti 23, katika Mahakama Kuu Kanda ya Dodoma. Kesi hiyo ya jinai…

Read More

Rais Samia: Kufutwa mashirika kumeleta kelele

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amesema uamuzi wa Ofisi ya Msajili wa Hazina kufuta na kuchanganya baadhi ya mashirika ambayo hayaonekani kufanya vizuri umesababisha kelele nyingi. Jambo hilo amesema linasababishwa na watu kuogopa mageuzi yanayofanyika katika mashirika ya umma licha ya kuonekana kufanya vizuri katika baadhi ya maeneo. Rais Samia ametoa kauli hiyo…

Read More

70 wajeruhiwa ajali ya treni ya TRC

Dar es Salaam. Treni ya abiria ya Shirika la Reli Tanzania (TRC) iliyokuwa ikitokea mkoani Kigoma kuelekea mikoa ya Tabora, Dodoma, Morogoro, Pwani na Dar es Salaam imepata ajali. Watu 70 wamejeruhiwa katika ajali hiyo kati ya 571 waliokuwa wakisafiri kwa treni hiyo. Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano TRC, Jamila Mbarouk katika taarifa kwa umma…

Read More