WAZIRI KIJAJI ATETA NA NAIBU BALOZI WA NORWAY

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji akizungumza na Naibu Balozi wa Norway nchini Tanzania Mhe. Kjetil Schie alipokutana naye ofisini kwake jijini Dar es Salaam leo tarehe 01 Agosti, 2024. Wengine ni Naibu Katibu Mkuu (Mazingira) Ofisi ya Makamu wa Rais Bi. Christina Mndeme, Mkurugenzi Mtendaji…

Read More

Mwandishi MCL ashinda tuzo ya Tulia Trust Journalism Awards

Mbeya. Mwandishi wa habari wa gazeti la Mwananchi mkoani Mbeya, Hawa Mathias ameibuka mshindi wa tuzo ya umahiri wa uandishi wa habari za ‘Tulia Trust Journalism Awards’ katika kipengele cha afya. Kwenye tuzo hizo ambazo ni za pili kufanyika, mwaka huu jumla ya kazi 90 ziliwasilishwa katika makundi mbalimbali zilizochapishwa au kutangazwa kwenye magazeti, redio,…

Read More

Bilion 2 kuimarisha ulinzi bwawa la Mindu Morogoro.

Bwana la Mindu lililopo Manispaa ya Morogoro linategemewa kwa zaidi ya asilimia 70 ya wakazi wa Morogoro katika upatikanaji wa huduma ya maji safi kwa wakazi wa Manispaa hiyo ambapo wadau na Serikali wamekua wakisisitiza utunzwaji wake Ili wananchi kuwa na uhakika wa huduma ya maji. Katika kuendelea na mikakati hiyo hapa unafanyika uzindua rasmi…

Read More

SIMBA SC YAMNASA MOUSSA CAMARA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Simba SC imemtambulisha golikipa Mguinea, Moussa Camara akitokea Horoya AC atayeziba pengo la Ayoub Lakred amabaye amepata majeraha yatakayomweka benchi kwa muda mrefu kidogo. Moussa Camara (alizaliwa 27 Novemba 1998) ni mchezaji wa kandanda wa Guinea ambaye alikuwa anacheza kama kipa wa Horoya na timu ya taifa ya Guinea, sasa ni mali halali ya Simba…

Read More