Simba yamtambulisha SpiderMan | Mwanaspoti

KLABU ya Simba imemtambulisha kipa mpya, Moussa Camara ‘Spider’ kwa mkataba wa miaka miwili akitokea AC Horoya ya Guinea. Camara ni maarufu kwa jina la Spiderman, kwa umahiri wake wa kudaka mipira, ni  raia wa Guinea mwenye umri wa miaka 25 amejiunga na klabu hiyo ya Msimbazi ili kuongeza nguvu katika eneo hilo baada ya…

Read More

CLIMATE CHANGE MARATHON kufanyika Pangani

Katika kuhakikisha jamii inakabiliana na mabadiliko ya tabianchi Shirika la TREE OF HOPE wameandaa Mbio za Marathon ya mabadiliko ya Tabianchi 2024 ( CLIMATE CHANGE MARATHON 2024) zitakazofanyika terehe 28 septemba 2024 wilayani Pangani Mkoa wa Tanga. Akizungumza na waandishi wa habari Mkurugenzi Wa Shirika Hilo Fortunata Manyelesa amesema lengo la Mbio hizo ni kukusanya…

Read More

Mambo manne yanayomsubiri Rais Samia Morogoro

Morogoro. Changamoto ya miundombinu, upatikanaji wa maji safi na salama, migogoro ya wakulima na wafugaji na kero ya uchafu sokoni ndiyo mambo yanayotarajiwa kujitokeza zaidi kwenye ziara ya Rais Samia Suluhu Hassan mkoani Morogoro. Rais Samia ameanza ziara ya siku sita leo Agosti 2, 2024 katika Mkoa wa Morogoro. Kwenye ziara hiyo, atakagua miradi mbalimbali…

Read More

WAANDAMANAJI WALAUMU HALI MBAYA YA MAISHA NA UCHUMI NIGERIA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Maandamano yaliyozuka katika mji wa Kano, kaskazini mwa Nigeria, na kusababisha vifo vya watu kadhaa kwa kupigwa risasi, yanaonesha ukubwa wa shida za kiuchumi zinazokabili nchi hiyo. Waandamanaji, wengi wao wakiwa vijana, walijitokeza kwa wingi kupinga gharama ya juu ya maisha, huku wakidai urejeshaji wa ruzuku ya mafuta ambayo iliondolewa mwaka jana. Wakati serikali ikikosa…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Aussems awe makini na Singida BS

KOCHA wa mpira Patrick Aussems anapaswa kujipanga vilivyo Singida Black Stars anakoendelea na kibarua cha kuifundisha. Najua ukweli unauma, lakini hakuna namna inabidi tumwambie ukweli maana tunapenda kuona akiendelea kufundisha soka hapa nchini. Kwa namna alivyoanza, haonyeshi matumaini kama anaweza kuifanya Singida Black Stars kuwa na makali ambayo wengi wanategemea kuyaona yatakayoifanya iwe tishio kwa…

Read More

Srelio yazipigia hesabu timu kongwe

KOCHA msaidizi wa Srelio, Miyasi Nyamoko amesema anazipigia mahesabu timu tano kongwe zinazoshiriki ligi ya kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL). Miyasi ambaye pia ni mchezaji wa timu hiyo, alizitaja timu hizo ni JKT, Savio, ABC, Mchenga Star na UDSM Outsiders. Alisema wakishinda dhidi ya baadhi ya timu hizo, watakuwa katika nafasi ya nne…

Read More

Vijana Queens yaishusha DB Tronacatti

VIJANA Queens imeishusha DB Troncatti katika nafasi yake  ya uongozi wa ligi hiyo kwenye msimamo wa Ligi ya Mpira wa Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam. Vijana sasa inaongoza msimamo huo ikiwa na pointi 38 ikifuatiwa na DB Troncatti yenye 38 zikitofautiana kwa idadi ya kufunga vikapu, Vijana ikiwa na 1470, huku DB ikifunga 1439….

Read More

Director of Business Development Job Vacancy at Johari Rotana – MWANAHARAKATI MZALENDO

Johari Rotana Striking contemporary property with elegant design and outstanding facilities in a prime location in the Central Business District of Dar es Salaam Director of Business Development Job Vacancy at Johari Rotana We are currently looking for dynamic, and self-motivated Business Development with Sales Background professionals who want to move their careers forward. Under…

Read More