
NIONAVYO: Ushindani wa jezi unavyoinua soka letu
MIAMBA ya soka nchini, Yanga na Simba zina historia ndefu kwenye mchezo huu na zaidi ya yote ni tambo zao uwanjani. Hata hivyo, mbali na uwanjani, hata nje ya uwanja zimekuwa zikitambiana kwa mambo mengi na zinashindana hadi kwenye maendeleo yao ya kisoka. Dunia inazidi kubadilika. Maendeleo yanazidi kukua na timu hzi haziko nyuma kwenye…