RAIS DK.MWINYI KUFUNGUA TAMASHA FAHARI YA ZANZIBAR

Na Mwandishi Wetu RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt.Hussein Ali Mwinyi anatarajia kufungua Tamasha la Fahari ya Zanzibar 2024 linalotarajia kufanyika Septemba 20 hadi 27 mwaka huu viwanja vya Nyamazi,Unguja. Huku nchi sita zinatarajia kushiriki tamasha hilo kwa lengo la kujadili masoko na uwekezaji ambapo kutakuwa na Kongamano maalum ndani ya…

Read More

DAVID MULOKOZI AWAUNGANISHA WASANII KUTOA BURUDANI

MKURUGENZI wa Kampuni ya Mati Super Brands Limited, David Mulokozi amesema Watanzania wapenda burudani ya muziki sasa watakuwa na nafasi ya kuwashuhudia wasanii wakongwe wa muziki katika jukwaa moja baada kuingia nao mkataba wa kutangaza bidhaa za kampuni hiyo. David Mulokozi amewataja wasanii hao kuwa ni Juma Nature, Matonya, Ferouz, Daz Baba, Domokaya na wengine…

Read More

Getrude Mongella awaasa vijana walioutupa maadili, uzalendo

Dar es Salaam. Ili kuenzi kazi aliyoifanya muasisi wa Taifa la Tanganyika na Zanzibar, Hayati Mwalimu Julius Nyerere imeshauriwa kiandikwe kitabu, kitakachokuwa na mwongozo kwa vijana kujua misingi ya uzalendo kwa nchi yao. Hayo yamesemwa na Rais wa kwanza wa Bunge la Afrika na mwanaharakati wa haki za wanawake nchini, Balozi Getrude Mongella leo Agosti…

Read More

Rais Samia ataka treni SGR ilete tija, ilipe deni

Dar/Dodoma. Rais Samia Suluhu Hassan amewataka wafanyakazi wa Shirika la Reli Tanzania (TRC) kulisimamia shirika hilo kwa ubunifu, uadilifu na waweke mikakati ya kuendesha treni kibiashara ili tija iliyokusudiwa ipatikane haraka. “Haitapendeza Serikali ikaendelea kulipa deni la fedha zilizokopwa kwa ajili ya ujenzi wa reli na kununua vitendea kazi, wakati shirika haliendi kwa faida, ingependeza…

Read More

Utafiti wafichua sababu mwanamke kulala zaidi ya mwanaume

Dar es Salaam. Kutokana na mwanamke kutumia ubongo wake zaidi, tafiti zimeonyesha anahitaji muda mwingi zaidi wa kupata usingizi ikilinganishwa na mwanaume, huku daktari akitaja sababu chanzo wanawake kuwa na vitambi kuliko wanaume. Mwanamke ametajwa kufanya kazi nyingi na huzifanya kwa mara moja, kwa sababu hutumia zaidi ubongo wake halisi, hivyo huhitaji dakika ishirini zaidi…

Read More

Migomo ya wafanyabiashara, Tume yapewa zigo hili..

Dar es Salaam. Licha ya baadhi ya wadau kupongeza hatua ya Rais Samia Suluhu Hassan kuunda Tume ya Rais ya Kutathmini na Kushauri kuhusu Masuala ya Kodi, wametaka tume hiyo ihusishe walengwa wanaolalamikia mifumo ya kodi. Kwa mujibu wa taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu iliyotolewa jana Jumatano, Julai 31, 2024, tume hiyo…

Read More

Bei ya miwa haishuki, wakulima waondolewa hofu

Morogoro. Viongozi wa mradi wa ushirika wa wakulima wa zao la miwa katika Bonde la Kilombero mkoani Morogoro, wamewahakikishia wananchi kuwa hakutakuwa na kushuka kwa bei ya zao hilo kutokana na uhusiano mzuri kati ya wakulima na wadau wa sekta ya sukari. Akizungumza na Mwananchi mjini Ruaha leo Alhamisi Agosti mosi, 2024, mwenyekiti wa mradi…

Read More