Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: August 2024

  • Home
  • 2024
  • August
  • Page 334
Habari

RAIS DK.MWINYI KUFUNGUA TAMASHA FAHARI YA ZANZIBAR

August 1, 2024 Admin

Na Mwandishi Wetu RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt.Hussein Ali Mwinyi anatarajia kufungua Tamasha la Fahari ya Zanzibar 2024 linalotarajia kufanyika

Read More
Burudani

DAVID MULOKOZI AWAUNGANISHA WASANII KUTOA BURUDANI

August 1, 2024 Admin

MKURUGENZI wa Kampuni ya Mati Super Brands Limited, David Mulokozi amesema Watanzania wapenda burudani ya muziki sasa watakuwa na nafasi ya kuwashuhudia wasanii wakongwe wa

Read More
Habari

SERIKALI- HAKUNA MWANANCHI ANAYEONDOLEWA NGORONGORO KWA AJILI YA UTALII BALI UHIFADHI

August 1, 2024 Admin

NA MWANDISHI WETU Serikali imesema uhamisho unaoendelea wa wananchi waishio ndani ya Eneo la Hifadhi ya Ngorongoro ni wa hiari baada ya wananchi husika kupewa

Read More
Habari

Getrude Mongella awaasa vijana walioutupa maadili, uzalendo

August 1, 2024 Admin

Dar es Salaam. Ili kuenzi kazi aliyoifanya muasisi wa Taifa la Tanganyika na Zanzibar, Hayati Mwalimu Julius Nyerere imeshauriwa kiandikwe kitabu, kitakachokuwa na mwongozo kwa

Read More
Habari

Rais Samia ataka treni SGR ilete tija, ilipe deni

August 1, 2024 Admin

Dar/Dodoma. Rais Samia Suluhu Hassan amewataka wafanyakazi wa Shirika la Reli Tanzania (TRC) kulisimamia shirika hilo kwa ubunifu, uadilifu na waweke mikakati ya kuendesha treni

Read More
Habari

Utafiti wafichua sababu mwanamke kulala zaidi ya mwanaume

August 1, 2024 Admin

Dar es Salaam. Kutokana na mwanamke kutumia ubongo wake zaidi, tafiti zimeonyesha anahitaji muda mwingi zaidi wa kupata usingizi ikilinganishwa na mwanaume, huku daktari akitaja

Read More
Habari

Migomo ya wafanyabiashara, Tume yapewa zigo hili..

August 1, 2024 Admin

Dar es Salaam. Licha ya baadhi ya wadau kupongeza hatua ya Rais Samia Suluhu Hassan kuunda Tume ya Rais ya Kutathmini na Kushauri kuhusu Masuala

Read More
Habari

Bei ya miwa haishuki, wakulima waondolewa hofu

August 1, 2024 Admin

Morogoro. Viongozi wa mradi wa ushirika wa wakulima wa zao la miwa katika Bonde la Kilombero mkoani Morogoro, wamewahakikishia wananchi kuwa hakutakuwa na kushuka kwa

Read More
Habari

Mawakala Forodha Watakiwa Kufanya Kazi Kwa Weledi, Waaswa Kujiepusha Na Vitendo Vya Rushwa

August 1, 2024 Admin

Na Mwandishi wetu. KAMISHNA Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Mwenda amewataka mawakala wa forodha nchini kufanya kazi kwa weledi, uadilifu na kujiepusha

Read More
Habari

Stesheni za SGR zapewa majina ya marais, Dar yaitwa Magufuli

August 1, 2024 Admin

Dodoma. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametoa majina ya vituo vya stesheni za treni ya umeme (SGR) kuanzia Dar es Salaam hadi Kigoma. Majina

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 333 334 335 … 343 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.