Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: August 2024

  • Home
  • 2024
  • August
  • Page 335
Habari

Rais Dkt. Samia azindua Rasmi Huduma za Usafiri wa SGR kutoka Dar es Salaam – Morogoro hadi Dodoma, katika eneo la Stesheni Jijini Dar es Salaam

August 1, 2024 Admin

Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan azindua Rasmi Huduma za Usafiri wa Treni ya Kisasa (SGR) kutoka Dar es Salaam – Morogoro hadi Dodoma, katika

Read More
Habari

Dk. Yonazi awataka viongozi kufanya kazi kwa weledi kufikia malengo

August 1, 2024 Admin

Na Mwandishi Wetu, Arusha Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge na Uratibu, Dk. Jim Yonazi amewataka viongozi wa ofisi hiyo

Read More
Habari

Iran na washirika wajadili kisasi cha mauaji ya Haniyeh – DW – 01.08.2024

August 1, 2024 Admin

Vyanzo vitano tafauti vililiambia shirika la habari la Reuters kuwa mkutano huo wa siku wa Alkhamis (Agosti 1) mjini Tehran ulitazamiwa kuhudhuriwa na wawakilishi wa makundi

Read More
Habari

Rufaa ya Doyo wa ADC kupinga wapiga kura kuzidi kuanikwa kesho

August 1, 2024 Admin

Dar es Salaam. Kamati ya Rufaa ya Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), imepanga kutoa matokeo ya rufaa iliyokatwa na aliyekuwa mgombea uenyekiti wa

Read More
Habari

Tanzania yaipa homa Msumbiji kufuzu Kombe la Dunia kriketi

August 1, 2024 Admin

Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital Kocha wa timu ya kriketi ya Msumbiji, Filipe Cossa amesema  Tanzania ni ndiyo   timu  inayoweza kumzuia katika mashindano kriketi ya

Read More
Habari

Polisi Nigeria wafyatua gesi ya machozi kutawanya maandamano – DW – 01.08.2024

August 1, 2024 Admin

Mamia ya waandamanaji vijana wamemiminika katika miji kadhaa ya taifa hilo, kupinga mageuzi ya serikali wanayodai kwamba yamezidisha hali ya maisha kuwa mbaya zaidi. Mamlaka

Read More
Habari

Wauza nyama wagoma, wananchi wahaha kusaka kitoweo Iringa

August 1, 2024 Admin

Iringa. Wafanyabiashara wa nyama katika Halmashauri ya Manispaa ya Iringa leo Alhamisi Agosti Mosi, 2024 wamegoma kufungua mabucha yao wakilalamikia kupanda kwa tozo na ushuru

Read More
Habari

Ukraine yapokea ndege za kivita chapa F-16 kutoka Marekani – DW – 01.08.2024

August 1, 2024 Admin

Ndege za kivita chapa F-16 zilizotengenezwa Marekani zimekuwa zikitumika mara nyingi katika vita kama chaguo la Jumuiya ya kujihami ya NATO na vikosi vingi vya

Read More
Habari

Steinmeier aomba radhi katika kumbukumbu ya Uasi wa Warsaw – DW – 01.08.2024

August 1, 2024 Admin

Steinmeier ameomba radhi kwa madhila waliopitia Wapoland mikononi mwa watawala wa kinazi wa Ujerumani. Rais wa Ujerumani Frank-Walter Steinmeier amekutana na baadhi ya manusura wachache walio

Read More
Habari

MAUAJI YA KUTISHA: Watatu wauawa kikatili, wauaji wajinyonga mmoja atokomea

August 1, 2024 Admin

Mwanza. Watu watano wamefariki dunia katika matukio matatu tofauti akiwamo mtoto wa miaka mitatu, huku wivu wa mapenzi ukitajwa kuchangia mauaji hayo. Matukio hayo yamebainishwa

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 334 335 336 … 343 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.