Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan azindua Rasmi Huduma za Usafiri wa Treni ya Kisasa (SGR) kutoka Dar es Salaam – Morogoro hadi Dodoma, katika
Month: August 2024

Na Mwandishi Wetu, Arusha Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge na Uratibu, Dk. Jim Yonazi amewataka viongozi wa ofisi hiyo

Vyanzo vitano tafauti vililiambia shirika la habari la Reuters kuwa mkutano huo wa siku wa Alkhamis (Agosti 1) mjini Tehran ulitazamiwa kuhudhuriwa na wawakilishi wa makundi

Dar es Salaam. Kamati ya Rufaa ya Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), imepanga kutoa matokeo ya rufaa iliyokatwa na aliyekuwa mgombea uenyekiti wa

Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital Kocha wa timu ya kriketi ya Msumbiji, Filipe Cossa amesema Tanzania ni ndiyo timu inayoweza kumzuia katika mashindano kriketi ya

Mamia ya waandamanaji vijana wamemiminika katika miji kadhaa ya taifa hilo, kupinga mageuzi ya serikali wanayodai kwamba yamezidisha hali ya maisha kuwa mbaya zaidi. Mamlaka

Iringa. Wafanyabiashara wa nyama katika Halmashauri ya Manispaa ya Iringa leo Alhamisi Agosti Mosi, 2024 wamegoma kufungua mabucha yao wakilalamikia kupanda kwa tozo na ushuru

Ndege za kivita chapa F-16 zilizotengenezwa Marekani zimekuwa zikitumika mara nyingi katika vita kama chaguo la Jumuiya ya kujihami ya NATO na vikosi vingi vya

Steinmeier ameomba radhi kwa madhila waliopitia Wapoland mikononi mwa watawala wa kinazi wa Ujerumani. Rais wa Ujerumani Frank-Walter Steinmeier amekutana na baadhi ya manusura wachache walio

Mwanza. Watu watano wamefariki dunia katika matukio matatu tofauti akiwamo mtoto wa miaka mitatu, huku wivu wa mapenzi ukitajwa kuchangia mauaji hayo. Matukio hayo yamebainishwa