Rais Dkt. Samia azindua Rasmi Huduma za Usafiri wa SGR kutoka Dar es Salaam – Morogoro hadi Dodoma, katika eneo la Stesheni Jijini Dar es Salaam

Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan azindua Rasmi Huduma za Usafiri wa Treni ya Kisasa (SGR) kutoka Dar es Salaam – Morogoro hadi Dodoma, katika eneo la Stesheni Jijini Dar es Salaam Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wananchi wa Pugu Jijini Dare es Salaam wakati akielekea…

Read More

Dk. Yonazi awataka viongozi kufanya kazi kwa weledi kufikia malengo

Na Mwandishi Wetu, Arusha Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge na Uratibu, Dk. Jim Yonazi amewataka viongozi wa ofisi hiyo kufanya kazi kwa weledi ili kufikia malengo ya Serikali katika kuwahudumia Watanzania. Ameyasema hayo leo Agosti Mosi,2024 jijini Arusha alipohitimisha kikao cha mazingativu (Retreat) kilichohusisha viongozi wa Ofisi ya Waziri…

Read More

Rufaa ya Doyo wa ADC kupinga wapiga kura kuzidi kuanikwa kesho

Dar es Salaam. Kamati ya Rufaa ya Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), imepanga kutoa matokeo ya rufaa iliyokatwa na aliyekuwa mgombea uenyekiti wa chama hicho, Doyo Hassan Doyo. Taarifa hiyo, imekuja leo wakati tayari Doyo akiwa ametishia kuishitaki kamati hiyo mahakamani kwa kuchelewesha majibu ya rufaa yake. Doyo aliyegombea uenyekiti wa ADC Juni…

Read More

Tanzania yaipa homa Msumbiji kufuzu Kombe la Dunia kriketi

Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital Kocha wa timu ya kriketi ya Msumbiji, Filipe Cossa amesema  Tanzania ni ndiyo   timu  inayoweza kumzuia katika mashindano kriketi ya kufuzu kombe la dunia, daraja la pili (Divisheni II) kwa vijana wenye umri chini ya miaka 19. Michuano hiyo ambayo itashirikisha  jumla ya Mataifa nane, inatarajiwa kuanza kesho kwenye viwanja…

Read More

Polisi Nigeria wafyatua gesi ya machozi kutawanya maandamano – DW – 01.08.2024

Mamia ya waandamanaji vijana wamemiminika katika miji kadhaa ya taifa hilo, kupinga mageuzi ya serikali wanayodai kwamba yamezidisha hali ya maisha kuwa mbaya zaidi. Mamlaka za nchi hiyo zimesambaza maafisa wa usalama katika juhudi za kukabiliana na aina yoyote ya ghasia. Katika jiji la kibiashara la Lagos, waandamanaji walikusanyika kuelekea majengo ya serikali yaliyokuwa chini…

Read More

Wauza nyama wagoma, wananchi wahaha kusaka kitoweo Iringa

Iringa. Wafanyabiashara wa nyama katika Halmashauri ya Manispaa ya Iringa leo Alhamisi Agosti Mosi, 2024 wamegoma kufungua mabucha yao wakilalamikia kupanda kwa tozo na ushuru wa uchinjaji. Tozo hizo wanadai zinatozwa na Halmashauri ya Manispaa ya Iringa na wamechukua hatua hiyo ili kuushinikiza uongozi upunguze gharama hizo walizodai zimepanda kutoka Sh4,000 mpaka Sh10,000. mmoja wa…

Read More