
Rais Dkt. Samia azungumza na Wananchi wa Ngerengere na Morogoro Mjini akiwa njiani kuelekea Mkoani Dodoma SGR
Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan azungumza na Wananchi wa Ngerengere na Morogoro Mjini akiwa njiani kuelekea Mkoani Dodoma kwa Usafiri wa Treni ya Kisasa (SGR) Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wananchi wa Ngerengere Mkoani Morogoro wakati akielekea Dodoma kwa Usafiri wa Treni ya Kisasa ya…