Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: August 2024

  • Home
  • 2024
  • August
  • Page 336
Habari

Rais Dkt. Samia azungumza na Wananchi wa Ngerengere na Morogoro Mjini akiwa njiani kuelekea Mkoani Dodoma SGR

August 1, 2024 Admin

Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan azungumza na Wananchi wa Ngerengere na Morogoro Mjini akiwa njiani kuelekea Mkoani Dodoma kwa Usafiri wa Treni ya Kisasa

Read More
Habari

Sungusia akerwa mawakili kupigwa ‘Tanganyika jeki’ na polisi hadharani

August 1, 2024 Admin

Dodoma. Rais wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS), Haroad Sungusia amemwomba Naibu Waziri Mkuu, Dk Doto Biteko kusema neno kuhusu baadhi ya mawakili kunyanyaswa na

Read More
Habari

Wenye mabasi walia SGR kuwaathiri, Samia amtaja Abood

August 1, 2024 Admin

Dar es Salaam. Ingawa kuimarika kwa huduma za treni ya umeme nchini Tanzania ni furaha kwa abiria, kwa upande wa wamiliki wa mabasi ni maumivu,

Read More
Habari

STANBIC YAZINDUA PROGRAMU MPYA YA MAFUNZO KWA WAHITIMU

August 1, 2024 Admin

*Yaahidi kukuza viongozi wa baadaye kupitia mpango huo wa mafunzo. *Programu imebadilika kuwa ya miezi 12 kwa mafunzo maalum. Asilimia 93 ya uhifadhi, kuimarisha uongozi

Read More
Michezo

Straika Simba atoroka kambini | Mwanaspoti

August 1, 2024 Admin

WAKATI Simba Queens ikiwa kambini Bunju jijini Dar es Salaam kujiandaa na michuano ya Klabu Bingwa kwa Nchi za Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) kwa

Read More
Habari

Kuwa Sehemu ya Mabadiliko – Mbio za Baiskeli za Vodacom Twende Butiama 2024

August 1, 2024 Admin

Tanzania inapoelekea kuadhimisha miaka 25 tangu kufariki kwa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Vodacom Tanzania na Klabu ya Baiskeli ya Twende Butiama wametangaza kufunguliwa rasmi kwa

Read More
Habari

Bodi ya mikopo yaibua mapya, yawaonya wazazi

August 1, 2024 Admin

Dar es Salaam. Ikiwa zimesalia siku 30 kabla ya kufungwa kwa dirisha la uombaji mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu nchini Tanzania, makosa kadhaa

Read More
Habari

Maelfu wamejitokeza kuhudhuria mazishi ya kiongozi wa Hamas aliyeuawa

August 1, 2024 Admin

Maelfu wamejitokeza kuhudhuria mazishi ya kiongozi wa kisiasa wa Hamas, Ismail Haniyeh, nchini Iran ambaye aliuawa katika shambulizi mjini Tehran siku ya Jumatano. Kiongozi Mkuu

Read More
Michezo

HUU HAPA UZI MPYA WA AZAM FC WA MSIMU 2024/25 – MWANAHARAKATI MZALENDO

August 1, 2024 Admin

Klabu ya Azam FC nayo imekataa ukimya kwa kuamua kutambulisha jezi zao mpya za kutumika takiaka msimu wa soka 2024/25. Wanalambalamba hao, matajiri wa viunga

Read More
Habari

Namna ya kuwa salama dhidi ya utapeli, uhalifu mtandaoni

August 1, 2024 Admin

Teknolojia ya mtandao wa kidijitali ni miongoni mwa mambo ambayo yameshika kasi wakati huu, ikitajwa kuwa kiungo muhimu cha kuongeza tija katika shughuli mbalimbali za

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 335 336 337 … 343 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.