YANGA imesharejea nchini kutoka Afrika Kusini ilipoenda kuweka kambi ya siku 10, ikicheza mechi tatu za kimataifa za kurafiki, ikuiwamo kubeba ubingwa wa Kombe la
Month: August 2024

Simiyu.Mahakama ya Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu imemuhukumu kwenda jela miaka 15 Katibu wa Chama cha Ushirika cha Msingi (Amcos) Kijiji cha Kidema, Richard Nchemba

MSIMU mpya wa kampeni ya Twende Butiama, umezinduliwa jijini Dar es Salaam huku, ikielezwa kwamba msafara wa baiskeli wenye lengo la kumuenzi na kuonyesha historia

Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mjini Magharib, Kamishna Msaidizi wa Polisi Abubakar H. Ally, ametoa onyo kuhusu matapeli wanaojifanya watumishi wa umma na kuwatapeli

Vyanzo vitano tafauti vililiambia shirika la habari la Reuters kuwa mkutano huo wa siku wa Alkhamis (Agosti 1) mjini Tehran ulitazamiwa kuhudhuriwa na wawakilishi wa makundi

Dar es Salaam. Upelelezi katika kesi ya Uhujumu Uchumi inayomkabili, aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke (DED), Lusubilo Mwakabibi na Mratibu wa Mradi wa Uendelezaji

WASHINDI wa Mbio za CRDB Bank Marathon 2024 zilizopangwa kufanyika Agosti 18 jijini Dar es Salaam, watazawadiwa jumla ya Sh 98.3 millioni. Mkurugenzi wa Mawasiliano

Mkurugenzi mtendaji wa bodi ya mikopo Dk Bill Kiwia amewataka wanafunzi kujitokeza zaidi kuomba mkopo kabla dirisha halijafungwa huku zikiwa zimebaki siku 30 ambapo ni

NDUGU yetu Dulla Makabila amekosa kirahisi fursa ya kupiga shoo kwenye kilele cha tamasha la Simba Day, keshokutwa Jumamosi. Kilichomponza ni mdomo wake mwenyewe ambao

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imewakumbusha wanafunzi wanaoomba mkopo wa elimu ya juu kwa mwaka wa masomo 2024/2025 kusoma miongozo