Pistorius azungumzia Mashariki ya Kati, Indo-Pacific – DW – 01.08.2024

Katika mahojiano aliyofanyiwa na DW wakati wa ziara yake jimboni Hawaii nchini Marekani, waziri Pistorius alizungumzia sera ya ulinzi ya Ujerumani inavyobadilika katikati mwa mizozo mingi ya kimataifa. Pistorius alikuwa Hawaii kusimamia ushiriki wa kikosi cha majini cha jeshi la Ujerumani Bundeswehr, katika luteka ya kijeshi ya Rim of the Pacific, RIMPAC, inayoogozwa na Marekani….

Read More

Alikiba: Nipo tayari kwa shoo ya viwango

KWA mara nyingine tena, mabibi na mabwana, wavulana kwa wasichana, mfalme wa muziki wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’ ndiye atakuwa kinara wa utoaji burudani katika tamasha la Simba Day, Agosti 3 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa huku mwenyewe akifunguka juu ya hilo. Julai 24, akiwa Morogoro, Alikiba alitangazwa kama mtumbuizaji mkuu katika…

Read More

TLS yatakiwa kusimamia haki na Amani kuchochea Maendeleo

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) na Mawakili kusimamia Haki na Amani nchini ili kuhakikisha haki inatendeka kwa watu wote ili kuchochea maendeleo. Dkt. Biteko ametoa wito huo wakati akimwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan kufungua Mkutano Mkuu…

Read More

Cheza mchezo wa Wild Corrida kasino uShinde mamilioni

  Wild Corrida ni mchezo wa kasino unaonesha onyesho utamaduni wa mapigano ya ng’ombe na ni maarufu sana nchini Hispania na Ureno. Jisajili Meridianbet upate bonasi ya ukaribisho ya 300% Mchezo huu wa kasino ya Mtandaoni ulioandaliwa na mtengenezaji maarufu wa michezo ya kasino, Expanse Studios. Mchezo huu wa kasino umejaa bonasi za Kasino, hivyo…

Read More

Vodacom yazindua “Msafara wa Vodacom Twende Butiama 2024” – MWANAHARAKATI MZALENDO

Gertrude Mongella, Waziri Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (kushoto), akizungumza wakati wa uzinduzi wa msafara wa Vodacom Twende Butiama Mwaka 2024 zitakazoanzia jijini Dar es Salaam Septemba 28 na kuisha Oktoba 14 katika Kijiji cha Mwitongo, Butiama alikozaliwa Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Kushoto kwake ni Mkuki Bgoya ambaye ni…

Read More

Makocha 17 wapewa mafunzo kikapu

MAKOCHA 17 wa mchezo wa kikapu nchini wanashiriki katika mafunzo ya mchezo huo, yanayoendelea katika kituo cha michezo cha Jakaya Mrisho Kikwete (JMKYP). Mafunzo hayo yanayomalizika kesho Jumamosi, yameandaliwa na shirikisho la mchezo huo nchini (TBF) kupitia kamisheni ya makocha. Akiongea na Mwanaspoti katika viwanja vya JMKYP, kamishina wa makocha wa TBF, Robert Manyerere alisema…

Read More

WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA DKT. PINDI CHANA AZINDUA KITUO CHA MAWASILIANO KWA AJIL YA KUTATUA MIGOGORO YA WANANCHI – MWANAHARAKATI MZALENDO

Katika hatua kubwa ya kuimarisha utatuzi wa migogoro nchini, Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Pindi Chana, ameanzisha kituo cha mawasiliano “contact center” maalumu kwa ajili ya wananchi kuwasilisha migogoro yao moja kwa moja wizarani. Dkt. Chana amepongeza juhudi za serikali katika kutatua kero na migogoro kwenye jamii, na amesisitiza umuhimu wa kuhakikisha wananchi wanapata…

Read More