Risasi yafunika Shinyanga | Mwanaspoti

RISASI imekuwa kinara kwenye msimamo wa mashindano ya Ligi ya Mpira wa Kikapu ya Mkoa wa Shinyanga ikizikimbiza timu nyingine kwa kuwa na pointi tisa. Ligi hiyo ambayo imeanza mzunguko wa pili, Risasi inafuatiwa na Kahama Sixers yenye pointi saba, huku B4 Mwadui ikiwa na sita na Veta tano. Kwa mujibu wa Kamishina wa ufundi…

Read More

Baraza la Usalama lajadili 'ongezeko kubwa na hatari' katika Mashariki ya Kati – Masuala ya Ulimwenguni

“Jumuiya ya kimataifa lazima ishirikiane kuzuia vitendo vyovyote vinavyoweza kufanya mzozo kuwa mkubwa na mpana kwa haraka sana,” Rosemary DiCarlo, Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayehusika na masuala ya kisiasa alisema, akionya juu ya kuongezeka kwa hali ya wasiwasi kutokana na mauaji ya kiongozi mkuu wa Hamas mjini Tehran mapema leo. Mauaji hayo…

Read More

Kagawa aziingiza nne vitani | Mwanaspoti

BAADA ya kupewa mkono wa kwaheri na Kagera Sugar, Ally Ramadhan ‘Kagawa’ ameziingiza vitani timu nne zikiwemo Geita Gold na Ken Gold zikiwania kupata huduma yake kwa msimu ujao. Kagawa ni miongoni mwa wachezaji 10 walioachwa na Kagera Sugar kwenye usajili unaoendelea baada ya kumaliza mkataba, wengine ni Gasper Mwaipasi, Abiud Mtambuku, Dickson Mhilu, Saidy…

Read More

WaterAid yawafuta machozi wananchi Hanang

  SHIRIKA la WaterAid limekabidhi mradi wa uboreshaji wa huduma za miondombinu ya maji na usafi wa mazingira Wilaya ya Hanang mkoani Manyara uliogharimu Sh million 425 na unalenga kuwafikia wanufaika wasiopungua 20,036. Anaripoti Mwandishi Wetu, Manyara … (endelea). Hayo yalisemwa jana na Mkurugenzi Mkaazi wa shirika hilo, Ana Mzinga, wakati wa halfa ya makabidhiano…

Read More

Kuwa sehemu ya mabadiliko, mbio za baiskeli za Vodacom Twende Butiama 2024

  Tanzania inapoelekea kuadhimisha miaka 25 tangu kufariki kwa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Vodacom Tanzania na Klabu ya Baiskeli ya Twende Butiama wametangaza kufunguliwa rasmi kwa usajili wa mbio za baiskeli za Twende Butiama Mwaka 2024. Mbio hizo, zitakazofanyika kuanzia Septemba 28 hadi Oktoba 14, zinaadhimisha urithi wa Baba wa Taifa kupitia uendeshaji baiskeli, shughuli…

Read More

Ligi ya BDL yafikia patamu

WAKATI Ligi ya Mpira wa kikapu ya Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) ikiendelea Uwanja wa Donbosco Oysterbay, imeonyesha timu 16 zinazoshiriki ligi hiyo zimeanza kujigawa katika makundi matatu. Makundi hayo ni ya timu zinazowania kucheza hatua ya nane bora, zinazopambana kubaki kwenye ligi na zinazojinusuru zisishuke daraja. Timu tisa zinawania kucheza hatua ya nane…

Read More