Kero ya maji yawatesa wanakijiji Korini Kusini Moshi

Moshi. Wananchi wa Kijiji cha Korini Kusini, kata ya Mbokomu Wilaya ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, wamelalamikia kero ya upatikanaji wa maji safi na salama. Wamesema hali hiyo inawafanya wanunue ndoo moja ya maji kwa Sh500, gharama wanayosema hawawezi kuimudu kwa kuwa kipato chao ni kidogo. Wanasema kero hiyo ya maji imedumu kwa muda mrefu bila…

Read More

Ukiteuliwa serikalini kutoka sekta binafsi hii inakuhusu

Dar es Salaam. Msajili wa Hazina wa Tanzania, Nehemia Mchechu amesema wako katika hatua za mwisho kuandaa programu maalumu kwa ajili ya watendaji wakuu wa taasisi hususan wale wanaotoka sekta binafsi wanapoingia serikalini ili waweze kuendana na mazingira yao ya kazi. Mchechu ameyasema hayo leo Jumatano, Agosti 28, 2024 alipokuwa akizungumza katika ufunguzi wa kikao…

Read More

Spika Dkt. Tulia Ackson akemea tabia za viongozi kutumia nguvu na mamlaka kukamata wananchi pasipokuwa na sababu

Spika wa bunge la Tanzania Dkt. Tulia Ackson amekemea tabia ya baadhi ya viongozi wakiwemo wakuu wa wilaya na mikoa wanaotumia nguvu na mamlaka kukamata wananchi pasipokuwa na sababu za msingi jambo ambalo amelitaja kuwa ni ukiukwaji wa taratibu za kisheria. Dkt. Tulia amekemea hilo kufuatua Hoja ya dharura iliyowasilishwa bungeni na mbunge wa Jimbo…

Read More