Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: August 2024

  • Home
  • 2024
  • August
  • Page 340
Habari

RAIS SAMIA SULUHU HASSAN ATOA MAAGIZO KWA MAWAZIRI WOTE – MWANAHARAKATI MZALENDO

August 1, 2024 Admin

Rais Samia Suluhu Hassan ametoa maagizo makali kwa Waziri wa Fedha na Mawaziri wote kuhakikisha kuwa fedha zinazoingizwa katika sekta zao zinatumika kuondosha kero za

Read More
Michezo

AKILI ZA KIJIWENI: Simba isilaumiwe kumkosa Elie Mpanzu

August 1, 2024 Admin

SIMBA ilipambana sana kuisaka saini ya winga machachari wa AS Vita, Elie Mpanzu lakini kuna wakati jitihada huwa hazizai matunda na ndicho kimetokea kwao. Walifanikiwa

Read More
Habari

WAZIRI MKUU AKIFUNGUA MAONESHO YA NANENANE DODOMA

August 1, 2024 Admin

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Agosti 01, 2024 anafungua maonesho ya Kimataifa ya Wakulima ya Nanenane ambayo kitaifa yanafanyika kwenye viwanja vya Nanenane Nzuguni Jijini

Read More
Habari

Khamenei aongoza sala ya jeneza la Haniyeh – DW – 01.08.2024

August 1, 2024 Admin

Mapema siku ya Alkhamis (Agosti 1), Ayatullah Ali Khamenei aliongoza sala ya jeneza mjini Tehran, kabla ya maiti ya Haniyeh kupelekwa nchini Qatar kwa maziko

Read More
Habari

Kamera za uchunguzi takribani 6500 kupunguza uharifu na kuimarisha ulinzi na usalama nchini

August 1, 2024 Admin

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Daniel Sillo amesema Serikali iko mbioni kufunga mitambo ya Kamera za uchunguzi takribani 6500 kwa kuanzia

Read More
Habari

Samia apewa tano mapambano kupunguza vifo kina mama na watoto

August 1, 2024 Admin

  WANAWAKE wanaojifungua katika Hospitali ya Mkoa wa Morogoro, wameishukuru Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan, kwa kuongea idadi ya hospitali na vituo vya afya

Read More
Habari

Mahakama Kenya yabatilisha muswada wa fedha wa 2023 – DW – 01.08.2024

August 1, 2024 Admin

Hukumu hiyo ya mahakama inafuatia uamuzi wa rais Ruto mwezi uliopita wa kuufutilia mbali muswada tata wa fedha wa 2024 ambao ulichochea maandamano makubwa ambayo

Read More
Habari

Shilingi Trilioni 3.2 zasainiwa kuanzisha kiwanda cha chakataji wa mbolea

August 1, 2024 Admin

Kituo cha uwekezaji nchini TIC, na Mamlaka ya usimamizi wa mbolea TFRA pamoja na shirika la maendeleo la nishati ya gesi na mafuta TPDC zimesaini

Read More
Habari

Wakulima wa miwa Kilombero wamgeuka Mpina

August 1, 2024 Admin

  Wakulima wa miwa katika Bonde la Mto Kilombero mkoani Morogoro wamekanusha taarifa zilizotolewa na Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina (CCM) na baadhi watu waliodanganya

Read More
Habari

DOTTO BITEKO AITAKA TLS KUENDELEZA MSHIKAMANO NA KUISHAURI SERIKALI – MWANAHARAKATI MZALENDO

August 1, 2024 Admin

Naibu Waziri Mkuu wa Tanzania, Dotto Biteko, ametoa wito kwa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) kuchagua viongozi watakaolinda mshikamano wa chama hicho. Aliwasihi wanasheria

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 339 340 341 … 343 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.