AKILI ZA KIJIWENI: Simba isilaumiwe kumkosa Elie Mpanzu

SIMBA ilipambana sana kuisaka saini ya winga machachari wa AS Vita, Elie Mpanzu lakini kuna wakati jitihada huwa hazizai matunda na ndicho kimetokea kwao. Walifanikiwa kwa kiasi kikubwa kumshawishi mchezaji ajiunge nao kwa kumpa ahadi ya masilahi mazuri na mchezaji akatamani kuwa sehemu ya kikosi chao. Shida ikaja kwa AS Vita ambayo ilionyesha kubadilika badilika…

Read More

Samia apewa tano mapambano kupunguza vifo kina mama na watoto

  WANAWAKE wanaojifungua katika Hospitali ya Mkoa wa Morogoro, wameishukuru Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan, kwa kuongea idadi ya hospitali na vituo vya afya hatua iliyosaidia kupunguza vifo vya kina mama na watoto. Anaripoti Mwandishi Wetu, Morogoro … (endelea). Wakizungumza katika nyakati tofauti, kina mama hao walisema zamani kulikuwa na idadi kubwa ya vifo…

Read More

Wakulima wa miwa Kilombero wamgeuka Mpina

  Wakulima wa miwa katika Bonde la Mto Kilombero mkoani Morogoro wamekanusha taarifa zilizotolewa na Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina (CCM) na baadhi watu waliodanganya kuwa ni wawakilishi wa wakulima na kudai bei ya miwa imeporomoka na hawalipwi fedha zao kwa wakati. Anaripoti Mwandishi Wetu, Morogoro … (endelea). Wakizungumza na waandishi wa habari wilayani Kilombero…

Read More

DOTTO BITEKO AITAKA TLS KUENDELEZA MSHIKAMANO NA KUISHAURI SERIKALI – MWANAHARAKATI MZALENDO

Naibu Waziri Mkuu wa Tanzania, Dotto Biteko, ametoa wito kwa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) kuchagua viongozi watakaolinda mshikamano wa chama hicho. Aliwasihi wanasheria hao kuchagua viongozi wenye kiu ya kuishauri na kuikosoa serikali, jambo ambalo TLS imekuwa ikilifanya. “TLS mnalo jukumu kama chama kuchagua viongozi watakaoendeleza mshikamano wa chama chenu, watakaokuwa na kiu…

Read More