Wananchi Morogoro wapinguziwa mzigo vipimo vya CT-Scan

  WANANCHI wa Mkoa wa Morogoro, wameondokana na mzigo wa gharama za kufuata vipimo vya CT-Scan mikoa ya jirani, baada ya Serikali kufikisha huduma hiyo katika hospitali ya mkoa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Morogoro … (endelea). Hayo yamebainishwa na Daktari Bingwa wa mionzi mkoani humo, Emmanuel Mkumbo, akielezea maboresho yaliyofanywa na Serikali ya Rais Samia Suluhu…

Read More

SHUGHULI ZA UOKOAJI ZAKUMBWA NA CHANGAMOTO KALI BAADA YA MAPOROMOKO YA ARDHI KARELA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Kufuatia maporomoko makubwa ya ardhi yaliyosababisha vifo vya watu 182 huko Kerala, matumaini ya kupata manusura yanaendelea kupungua. Shughuli za uokoaji zinakumbana na changamoto kubwa kutokana na mvua kubwa iliyonyesha kwa wiki nzima, ambayo imefanya maeneo ya Mundakkai na Chooralmala katika wilaya ya Wayanad kuwa yasiyopita. Karibu watu 200 bado hawajulikani walipo baada ya maeneo…

Read More

Maafisa Usafirishaji wasikilizwa na Polisi Kata Ngara Mjini.

Mkaguzi kata ya Ngara Mjini Mkaguzi Msaidizi wa Polisi A/INSP Olipa Chitongo amefika katika kituo cha waendesha Pikipiki ya magurum mawili na kusikiliza kero za kiusalama zinazowakabili huku akiwaomba kuendelea kutoa taarifa Kwa Jeshi la Polisili Juu ya watu wanaofanya uhalifu katani hapo. Mkaguzi huyo amebainisha hayo mara baada ya kusikiliza kero za kiusalama Kwa…

Read More

MATREKTA 10,000 KUWAFIKIA WAKULIMA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Katika kuadhimisha sherehe za Nane Nane mwaka huu, Waziri wa Kilimo Mh. Hussein M Bashe katika ukurasa wake wa X amesema, “serikali ya Awamu ya 6 imejipanga kuleta mabadiliko makubwa katika sekta ya kilimo. Kati ya hatua kubwa zitakazochukuliwa ni pamoja na kununua matrekta 10,000 ifikapo mwaka 2030, ambayo yatasaidia kuboresha shughuli za kilimo nchini”….

Read More

Feitoto afunguka alichozungumza na kocha Mokwena wa Wydad

KIUNGO Mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’ amesema alikuwa na wakati mzuri na kocha wa Wydad Casablanca, Rhulani Mokwena ambaye amempa mbinu za kuendelea kuwa bora. Kiungo huyo amesema amepata nafasi ya kuzungumza na kocha huyo muda mchache baada ya timu yake kupokea kichapo cha mabao 4-1 dhidi ya Wydad Casablanca. “Mara baada…

Read More

Simba Songea wachangia damu | Mwanaspoti

WANACHAMA na wapenzi wa Simba wamejitokeza kutoa damu units 17 katika Hospitali ya Rufaa ya Songea (HOMSO) kwa ajili ya kusaidia watoto 85 wa umri wa chini ya miaka mitano wa mkoa wa Ruvuma. Wanachama hao wamejitokeza kwa wingi Julai 30, 2024 ikiwa ni wiki ya Kilele cha Simba Day 2024 ambapo wamekuwa wakichangia damu…

Read More

WANAFUNZI WAANDAMANA BANGLADESH – MWANAHARAKATI MZALENDO

Serikali ya Bangladesh inakabiliwa na ghasia kubwa kwa sababu ya machafuko makali yaliyotokea mwezi huu, ambayo yamesababisha vifo vya zaidi ya watu 200, wengi wakiwa wameuawa na polisi kwa kufyatua risasi. Watu karibu 10,000 wamekamatwa. Machafuko haya yalianza baada ya wanafunzi kuandamana wakidai haki kwa ajili ya wahanga wa ghasia hizi. Wanafunzi walikuwa wakipinga mipango…

Read More