Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: August 2024

  • Home
  • 2024
  • August
  • Page 341
Habari

Wananchi Morogoro wapinguziwa mzigo vipimo vya CT-Scan

August 1, 2024 Admin

  WANANCHI wa Mkoa wa Morogoro, wameondokana na mzigo wa gharama za kufuata vipimo vya CT-Scan mikoa ya jirani, baada ya Serikali kufikisha huduma hiyo

Read More
Habari

SHUGHULI ZA UOKOAJI ZAKUMBWA NA CHANGAMOTO KALI BAADA YA MAPOROMOKO YA ARDHI KARELA – MWANAHARAKATI MZALENDO

August 1, 2024 Admin

Kufuatia maporomoko makubwa ya ardhi yaliyosababisha vifo vya watu 182 huko Kerala, matumaini ya kupata manusura yanaendelea kupungua. Shughuli za uokoaji zinakumbana na changamoto kubwa

Read More
Habari

Maafisa Usafirishaji wasikilizwa na Polisi Kata Ngara Mjini.

August 1, 2024 Admin

Mkaguzi kata ya Ngara Mjini Mkaguzi Msaidizi wa Polisi A/INSP Olipa Chitongo amefika katika kituo cha waendesha Pikipiki ya magurum mawili na kusikiliza kero za

Read More
Habari

MATREKTA 10,000 KUWAFIKIA WAKULIMA – MWANAHARAKATI MZALENDO

August 1, 2024 Admin

Katika kuadhimisha sherehe za Nane Nane mwaka huu, Waziri wa Kilimo Mh. Hussein M Bashe katika ukurasa wake wa X amesema, “serikali ya Awamu ya

Read More
Michezo

Feitoto afunguka alichozungumza na kocha Mokwena wa Wydad

August 1, 2024 Admin

KIUNGO Mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’ amesema alikuwa na wakati mzuri na kocha wa Wydad Casablanca, Rhulani Mokwena ambaye amempa mbinu za

Read More
Habari

WANACHAMA NA MASHABIKI WAJITOKEZA KUCHANGIA DAMU JANGWANI – MWANAHARAKATI MZALENDO

August 1, 2024 Admin

Wakati shamla shamla za kuelekea kilelel cha Wiki ya Wananchi zikiendelea, mashabiki wa timu ya Young Africans SC wamejitokeza kuchangia damu katika Viwanja vya Mkao

Read More
Michezo

Simba Songea wachangia damu | Mwanaspoti

August 1, 2024 Admin

WANACHAMA na wapenzi wa Simba wamejitokeza kutoa damu units 17 katika Hospitali ya Rufaa ya Songea (HOMSO) kwa ajili ya kusaidia watoto 85 wa umri

Read More
Habari

Mhe. Ridhiwani Jakaya Kikwete ahimiza ufanisi uratibu wa shughuli za vijana na ajira

August 1, 2024 Admin

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Ridhiwani Jakaya Kikwete amehimiza menejimenti na watumishi wa ofisi hiyo

Read More
Habari

Hanang yakabidhiwa mradi wa uboreshaji wa huduma za miondombinu ya maji na usafi wa mazingira

August 1, 2024 Admin

SHIRIKA la WaterAid limekabidhi mradi wa uboreshaji wa huduma za miondombinu ya maji na usafi wa mazingira Wilaya ya Hanang mkoani Manyara uliogharimu Sh million

Read More
Habari

WANAFUNZI WAANDAMANA BANGLADESH – MWANAHARAKATI MZALENDO

August 1, 2024 Admin

Serikali ya Bangladesh inakabiliwa na ghasia kubwa kwa sababu ya machafuko makali yaliyotokea mwezi huu, ambayo yamesababisha vifo vya zaidi ya watu 200, wengi wakiwa

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 340 341 342 343 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.