Serikali kuongeza rada za utabiri wa hali ya hewa

Mwanza. Serikali inatarajia kuongeza rada mbili za utabiri wa hali ya hewa Juni, 2025 na kufanya kuwa na jumla ya rada saba zitakazosaidia wataalamu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA), kutoa taarifa mapema zaidi za majanga yanayohusiana na hali ya hewa. Inakadiriwa kutokana na miundombinu na rada tano zilizopo mikoa ya Mwanza, Dar…

Read More

Yanga, Mzize hesabu na heshima

KATIKA kile kinachoendelea kati ya mshambuliaji wa Yanga, Clement Mzize kuhusishwa ama kutakiwa na klabu mbalimbali Afrika na Ulaya, viongozi wa timu hiyo ya wananchi hao wanapaswa kuwa makini juu ya jambo hilo. Mzize kwa siku za hivi karibuni amekuwa akihitajika na klabu za Wydad AC ya Morocco na Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini ambazo…

Read More

Johnelly nayo yakwaa kisiki mkopo Benki ya Equity Tanzania

Dar es Salaam. Kampuni ya Johnelly TZ (Johnelly TZ Company Limitede) imekwaa kisiki mahakamani katika harakati zake wa malipo ya fidia kutoka Benki ya Equity Tanzania Limited (EBT), kwa madai ya kukiuka mkataba wa mkopo baina yake na benki hiyo. Mahakama ya Rufani katika hukumu yake iliyotolewa na jopo la majaji watatu waliosikiliza kesi hiyo,…

Read More

WANANCHI MANYARA WAASWA KUJITOKEZA KUJIANDIKISHA NA KUBORESHA TAARIFA ZAO KWENYE DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

Wananchi mkoani Manyara wameaswa kujitokeza kujiandikisha na kuboresha taarifa zao kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwakuwa hiyo ni haki yao kisheria. Wito huo umetolewa na Mkurugenzi wa Habari na Elimu ya Mpiga Kura wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Bi. Giveness Aswile wakati akizungumza katika Kipindi cha Tubonge kinachorushwa na Smile FM…

Read More

Waliopata mafuriko Morogoro mjini kupatiwa mikopo

Baadhi ya Wananchi wa Manispaa ya Morogoro ambapo walikubwa na Mafuriko na kuaribiwa makazi,biashara ,vyakula kipindi Cha mvua za masika wameanza kupatiwa mikopo na Serikali kwa kushirikiana na mamlaka zingine Ili kuwainua kiuchumi. Joyce Mugamvi ni Afisa maendeleo ya Jamii Manispaa ya Morogoro amesema jitihada za kuhakikisha Kaya zote zilizoathirika na mafuriko kipindi cha hivi…

Read More