Rais Samia na mzigo wa amani ukanda wa Sadc

Agosti 17, mwaka huu, Rais Samia Suluhu Hassan aliteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (Sadc – Organ Troika) kwenye mkutano wa kawaida wa 44 wa Sadc uliofanyika Harare, Zimbabwe. Katika mkutano huo, Rais wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa alichaguliwa kuwa mwenyekiti wa Sadc huku Rais…

Read More

Aliyefanya mauaji ya Tupac Shakur anyimwa dhamana

Hakimu wa mahakama nchini Marekani amemnyima dhamana mshukiwa wa mauaji ya Tupac Shakur mwaka 1996 huko Los Angeles. Kiongozi wa zamani wa genge la Los Angeles anayeugua hivi sasa, Duane “Keffe D” Davis, ndiye mtu pekee aliyewahi kushtakiwa kuhusiana na ufyatuaji risasi uliogharimu maisha ya nyota huyo wa hip-hop. Kiongozi huyo wa zamani wa genge…

Read More

NYASA YAKUSANYA MAPATO KWA ASILIMIA 124.91

Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma imevuka lengo la ukusanyaji mapato,baada ya kufanikiwa kukusanya mapato ya zaidi ya shilingi bilioni 2.17 sawa na asilimia 124.91 katika kipindi cha mwaka 2023/2024. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Khalid Khalif kwenye kikao cha Baraza la madiwani cha kujadili taarifa ya Hesabu za mwisho za…

Read More

Hili la Ngorongoro halijaisha, tumefunika kombe

Ili Tanzania tupate maendeleo ya kweli ambayo ni endelevu, ni lazima tujifunze kuukubali ukweli halisi jinsi ulivyo na kukitokea tatizo, tukabiliane nao kwa kutafuta ufumbuzi wa kudumu wa tatizo hilo na sio kufunika kombe mwanaharamu apite. Ngorongoro kuna tatizo, Serikali ilitaka kulitatua kibabe, Wamasai wakagoma, alichofanya Rais Samia Suluhu Hassan ni kufunika kombe tu, lakini…

Read More