SERIKALI ITAENDELEA KUSIMAMIA USHINDANI NA KULINDA WALAJI

Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Selemani Jafo(Mb) amebainisha hatua ambazo Serikali inazichukua katika kuhakikisha inaendelea kusimamia ushindani wa haki na kuwalinda watumiaji wa bidhaa na huduma hapa nchini, kwa kutumia Sheria ya Ushindani Na.8 ya Mwaka 2003 ambayo inatarajiwa kufanyiwa marekebisho katika mkutano huu wa Bunge kwa lengo la kuongeza tija katika kumlinda…

Read More

Tanzania yajipanga kuikamata Brazil katika utalii

Dar es Salaam. Tanzania imekusudia kuifanya Brazil kuwa miongoni mwa nchi 10 zinazoleta watalii wengi nchini kutokana na kuwa na idadi kubwa ya watu. Brazil ambayo mwaka huu inakadiriwa kuwa na watu zaidi ya milioni 212 tayari mawakala wake wa utalii, vyombo vya habari kutoka nchi hiyo wamekuja nchini ili kuangalia vivutio mbalimbali vinavyopatikana kabla…

Read More

HII HAPA SABABU WACHEZAJI WENGINE KUTOITWA KIKOSINI TAIFA STARS – MWANAHARAKATI MZALENDO

Kocha msaidizi Kikosi cha Taifa Stars, Hemed Morocco amefafanua kwanini wachezaji wa kitanzania wengine wanaotarajiwa kuwepo kikosini hawajumuishwi kutokana na mapendekezo yanayotolewa. “Najua kuwa Watanzania wangependa kuona wachezaji wengi wa Kitanzania ambao wanacheza soka la kulipwa nje wakiitwa, lakini lazima wajue kuwa sisi kama walimu kuna mambo ambayo huwa tunazingatia na wachezaji wapo wengi hivyo…

Read More

Wabunge walia gharama kwa wagonjwa wa figo

Dodoma. Wabunge wameitaka Serikali kutazama gharama za usafishaji wa damu kwa wenye magonjwa sugu ya figo nchini ‘dialysis’. Wakati wabunge wakisema hayo Serikali  imewataka Watanzania kujinga kwa kufuata maelekezo ya wataalamu wa afya akiwemo Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), Profesa Mohamed Janabi. Changamoto hiyo inaelezwa wakati ambapo nchini kuna vituo vya…

Read More

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI WATAKIWA KUWEPO VITUONI MUDA WOTE

Mwenyekiti Wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Mhe.Jaji (Rufaa) Jacobs Mwambegele, akizungumza wakati akifunga mafunzo ya siku mbili kwa Waratibu wa Uandikishaji wa mkoa, Maafisa Waandikishaji, Maafisa Waandikishaji Wasaidizi ngazi ya Jimbo, Maafisa Uchaguzi, Maafisa Ugavi na Maafisa TEHAMA wa halmashauri yaliyoanza jana Agosti 26 na kumalizika leo Agosti 27, 2024 Mkoani Mkoani…

Read More