14 wampasua kichwa Gamondi | Mwanaspoti

LIGI Kuu Bara imesimama kwa wiki mbili kupisha kalenda ya Fifa kwa mechi za kimataifa za timu za taifa, huku kocha mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi kwa sasa akifunga na kuomba ili mastaa 14 wa timu hiyo walioitwa warudi salama ili kuendeleza moto kutetea ubingwa inayoushikili kwa msimu wa tatu mfululizo. Mechi za timu za…

Read More

Wanafunzi watatu, dereva wafa ajalini, Manyara

Babati. Wanafunzi watatu na dereva wamefariki dunia kwa ajali ya gari wilayani Babati mkoani Manyara, baada ya magari mawili kugongana uso kwa uso. Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Manyara, Ahmed Makarani ajali hiyo imehusisha gari la mizigo aina ya scania kugongana na basi dogo aina ya coaster. Kamanda Makarani amesema ajali…

Read More

Sababu mashindano ya Quran kwa wanawake kufanyika Tanzania

Dar es Salaam. Haiba ya uadilifu, kupenda haki na usawa aliyonayo Rais Samia Suluhu Hassan, imetajwa kuchochea Tanzania ichaguliwe kuwa mwenyeji wa mashindano ya kwanza ya Quran kwa wanawake duniani. Mashindano hayo yamehusisha washiriki kutoka mataifa 11 duniani, ni mara ya kwanza kufanyika na Tanzania imekuwa mwenyeji wake. Hayo yameelezwa leo, Jumamosi Agosti 31, 2024…

Read More

MATI SUPER BRANDS LTD YAPEWA TUZO MAALUMU NA CHUO CHA UKAMANDA NA UNADHIMU (CSC)

  Na Mwandishi Wetu ,ManyaraKampuni ya Mati Super Brands Limited inayozalisha vinywaji changamshi yenye makao yake Makuu Mjini Babati Mkoani Manyara imepewa tuzo ya maalumu kutoka Chuo cha Ukamanda na Unadhimu (CSC) kwa kutambua mchango wa kampuni hiyo katika kusaidia jamii inayowazunguka Pamoja na kushirikiana na taasisi mbali mbali za kiserikali. Akizungumza mara baada ya…

Read More