Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: August 2024

  • Home
  • 2024
  • August
  • Page 4
Habari

Chuo Kikuu cha Mzumbe kimetia saini ya mikataba 5 ya ujenzi kampasi ya Tanga

August 31, 2024 Admin

Chuo Kikuu cha Mzumbe kimetia saini yamikataba mitano yenye thamani ya sh Bil 16.5 kwa ajili ya kuanza kwa ujenzi wa miundombinu ya majengo ya

Read More
Habari

ZUNGU AONGOZA MAPOKEZI YA SPIKA WA COMORO, MHE. MOUSTADROINE ABDOU

August 31, 2024 Admin

NAIBU Spika wa Bunge la Tanzania Mhe. Mussa A Zungu aongoza mapokezi ya Spika wa Comoro Mhe. Moustadroine Abdou leo katika uwanja wa Ndege wa

Read More
Habari

Rais Samia Suluhu Hassan Ashiriki Mashindano ya Kimataifa ya Qur’aan, Ahimiza kudumisha Umoja

August 31, 2024 Admin

  Dar es Salaam, 31 Agosti 2024 – Leo, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki katika Mashindano ya Kimataifa

Read More
Habari

Waliofanya uokozi ajali ya Precision Air wavutana matumizi ya fedha

August 31, 2024 Admin

Bukoba. Baadhi ya wavuvi wa Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera walioshiriki kuokoa majeruhi 24 kwenye ajali ya ndege ya Pricision Air,  wameelezea wasiwasi wao juu

Read More
Michezo

14 wampasua kichwa Gamondi | Mwanaspoti

August 31, 2024 Admin

LIGI Kuu Bara imesimama kwa wiki mbili kupisha kalenda ya Fifa kwa mechi za kimataifa za timu za taifa, huku kocha mkuu wa Yanga, Miguel

Read More
Habari

Wanafunzi watatu, dereva wafa ajalini, Manyara

August 31, 2024 Admin

Babati. Wanafunzi watatu na dereva wamefariki dunia kwa ajali ya gari wilayani Babati mkoani Manyara, baada ya magari mawili kugongana uso kwa uso. Kwa mujibu

Read More
Habari

Mati super brand yapewa tuzo maalum na chuo cha Ukamanda na Unadhimu

August 31, 2024 Admin

Kampuni ya Mati Super Brands Limited inayozalisha vinywaji changamshi yenye makao yake Makuu Mjini Babati Mkoani Manyara imepewa tuzo ya maalumu kutoka Chuo cha Ukamanda

Read More
Habari

Sababu mashindano ya Quran kwa wanawake kufanyika Tanzania

August 31, 2024 Admin

Dar es Salaam. Haiba ya uadilifu, kupenda haki na usawa aliyonayo Rais Samia Suluhu Hassan, imetajwa kuchochea Tanzania ichaguliwe kuwa mwenyeji wa mashindano ya kwanza

Read More
Habari

MATI SUPER BRANDS LTD YAPEWA TUZO MAALUMU NA CHUO CHA UKAMANDA NA UNADHIMU (CSC)

August 31, 2024 Admin

  Na Mwandishi Wetu ,ManyaraKampuni ya Mati Super Brands Limited inayozalisha vinywaji changamshi yenye makao yake Makuu Mjini Babati Mkoani Manyara imepewa tuzo ya maalumu

Read More
Habari

Rufaa ya Mbowe yatupwa siku 910 tangu afutiwe shitaka la ugaidi

August 31, 2024 Admin

Dar es Salaam. Mahakama ya Rufani Tanzania imetupa rufaa iliyokatwa na Freeman Mbowe, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), akipinga

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 3 4 5 … 343 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.