Ajichoma moto kisa mume kunywea pombe Sh40,000 zake

Mwanza. Mkazi wa Kitongoji cha Nyakasenge wilayani Magu mkoani Mwanza, Warioba Lucas, maarufu ‘Wevi’ (41) amelazwa katika Hospitali ya Wilaya ya Magu mkoani humo akiuguza majeraha ya moto aliyoyapata baada ya kujimwagia Petroli kisha kujichoma moto. Warioba anadaiwa kujitendea unyama huo jana Jumatatu Agosti 26, 2024, saa 5 asubuhi siku moja baada ya mume wake…

Read More

Watalii wa Brazil Kuanza Kumiminika Tanzania

Kwa hakika wameshangaa kwa nini hawapo 10 Bora ya nchi zinazoleta watalii kwa wingi na wameshangazwa zaidi na uzuri wa Tanzania; huo ndio mtazamo wa awali kabisa wa kundi la makampuni makubwa ya utalii na vyombo vya habari vya masuala ya safari waliofika nchini leo tayari kuitembelea na kuona uzuri wa Tanzania. Akizungumza na watendaji…

Read More

SIMULIZI YA HADITHI: Jana dume -1

SASA ENDELEA… JINA langu naitwa Enjo. Ni mtoto wa tatu katika familia ya mzee Sebastian Chacha. Wa kwanza alikuwa mwanaume. Jina lake ni Raymond au Ray kama marafiki zake walivyozoea kumuita. Yeye anafanya kazi Ujerumani. Ameshaoa na ana watoto wawili. Wa pili alikuwa mwanamke kama mimi, anaitwa Miriam. Anaishi Dar ninapoishi mimi, naye pia ameshaolewa…

Read More

COP16—Inahusu Nini na Inahitaji Nini Ili Kufanikisha? – Masuala ya Ulimwenguni

David Cooper, Naibu Katibu Mtendaji, Mkataba wa Anuwai ya Baiolojia (CBD), Waziri wa Mazingira wa Kanada Steven Guilbeault, Waziri wa Mazingira wa Colombia Susana Muhamad na Katibu Mtendaji wa CBD Astrid Schomaker katika mkutano wa hivi karibuni na waandishi wa habari ambapo walitazamia COP16. Mikopo: CBD na Cecilia Russell (johannesburg) Jumanne, Agosti 27, 2024 Inter…

Read More

Maandamano Ngorongoro hayakuathiri eneo la Hifadhi

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) ameeleza kuwa Wizara yake itahakikisha maelekezo ya Serikali yaliyotolewa hivi karibuni kwa wananchi wa tarafa ya Ngorongoro kuhusiana na uboreshaji wa huduma za jamii yanatekelezwa. Chana ametoa kauli hiyo alipotembelea makao makuu ya ofisi za Mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro na kuongea na Menejimenti…

Read More

Shangazi mbaroni akituhumiwa kumuua mtoto wa kaka yake

Njombe. Watu wawili Furahini Kipela (50) na Josephat Kiduligo (48), wanaoishi Mtaa wa Mapinduzi, Kata ya Lyamkena, Halmashauri ya mji wa Makambako mkoani Njombe, wanashikiliwa na Jeshi la Polisi  kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya mtoto Wilson Kipela (5). Mtoto huyo ni wa kaka yake Furahini Kipela. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe, Mahamoud…

Read More