SIMULIZI YA HADITHI: Jana dume – 4

ILIPOISHIA… Nikahisi alikuwa mzungu mwenyeji kwani alikuwa akiifahamu vyema lugha ya Kiswahili. “Bila samahani, niombe tu.” Nikamjibu. “Lakini natanguliza samahani, sijui kama utaridhika.” Aliponiambia hivyo nilishituka kidogo. “Kwani unataka kuniomba nini?” SASA ENDELEA… “NAOMBA namba yako.” “Namba yangu ya….?” “Nilikuwa na maana namba yako ya simu.” “Kama ni hilo tu hakuna tatizo.” Nikamwambia. Nikampa namba…

Read More

MAMALISHE, BABALISHE MKOANI MBEYA WAIPONGEZA ORYX GAS KWA KUENDESHA MASHINDANO YA KUPIKA KWA GESI YA ORYX – MWANAHARAKATI MZALENDO

NA MWANDISHI WETU MENEJA Miradi ya Nishati Safi ya Kupikia kutoka Kampuni ya Oryx Gas Tanzania Peter Ndomba amesema mashindano ya kupika kwa gesi ya Oryx mkoani Mbeya yanatija kubwa kwa Mama Lishe na Baba Lishe kwani wanatambua kundi hilo ndilo linaloathirika kiafya kutokana na kutumia kuni na mkaa kwa muda mwingi. Ameyasema hayo leo…

Read More

SIMULIZI YA HADITHI: Jana dume -5

LIPOISHIA…Akanyamaza kidogo kisha akaniuliza.“Tukutane saa ngapi?”“Kama saa kumi jioni hivi.”Ningeweza kukutana naye wakati wowote lakini niliona nimtajie tu muda huo ili aone nilikuwa mtu wa mipango. “SAA kumi nikukute mimi au utanikuta wewe?” Akaniuliza baada ya kimya kifupi.“Vyovyote itakavyokuwa. Kama utawahi wewe kufika utanisubiri. Kama nitawahi mimi nitakusubiri.”“Ahadi za kizungu nitaziweza wapi?” Nilikuwa nikijisemea kimoyomoyo…

Read More

SIMULIZI YA HADITHI: Machozi ya mshumaa -1

KARIBUNI… Hakuna anayejali maumivu ya mshumaa unaomwaga machozi ambayo huwafurahisha watu kwa kusambaza mwanga unaoangaza pande zote bila kujua kila chozi linalodondoka huwa lina maumivu makali yanayochangia mauti yake. Watu wengi wamekuwa wahanga wa mapenzi ambao kila kukicha macho yao yamekuwa yakidondosha machozi huku wakiwa na maumivu makali mioyoni mwao baada ya kuumizwa na mapenzi….

Read More

Odinga azindua kampeni ya kuongoza kamisheni ya AU – DW – 27.08.2024

Mchakato wa kuwania uongozi wa kamisheni ya Umoja wa Afrika umeanza rasmi baada ya Raila Odinga kuzinduliwa kuwa mwakilishi wa Afrika Mashariki. Odinga anashindana na wagombea wengine watatu wa kutoka Mauritius, Djibouti na Madagascar. Uchaguzi umepangwa kufanyika Februari mwakani. Marais 4 na wengine 2 waliostaafu wa Afrika wameidhinisha uteuzi wa Raila Odinga kuwania uongozi wa kamisheni…

Read More