NBAA YAENDESHA WARSHA KWA WANAFUNZI KWA NJIA YA MTANDAO

Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (​NBAA) imeendesha warsha kwa njia ya mtandao kwa wanafunzi wanaotegemea kufanya mitihani ya Bodi ili kuongeza ufanisi kipindi wanapokwenda kufanya mitihani hiyo. Akizungumza wakati wa kufungua warsha hiyo Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), CPA Pius A….

Read More

SIMULIZI YA HADITHI: Jana dume -6

Yule mzungu ameniahidi kuwa naweza kuvipata vyote kama nitakubali kuwa naye. Sikuona kama kulikuwa na kikwazo cha kuwa naye. Mwanaume ambaye tuliahidiana kuja kuoana hakuwa amenichumbia na inawezekana akapata msichana mwingine na akabadili mawazo yake. Mwanaume si wa kumtegemea sana.

Read More

REA YAWAPONGEZA/YAWASHUKURU WARATIBU WA MIRADI YA NISHATI VIJIJINI

  Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umewapongeza na kuwashukuru Waratibu wa Miradi ya Nishati vijijini kwa uzalendo na juhudi zao zilizowezesha mradi wa kupeleka umeme vijijini kufanikiwa na kukamilika katika ubora uliotarajiwa. Pongezi hizo zimetolewa leo Agosti 27, Jijini Dodoma na Mkurugenzi wa Mipango na Utafiti REA, Mhandisi Godfrey Chibulunje kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu…

Read More

Wazee watoa neno utunzaji wa uoto wa asili

Mikumi. Uongozi wa Hifadhi ya Taifa ya Mikumi umetakiwa kuzingatia utunzaji wa uoto wa asili kutokana na mabadiliko ya mazingira ukilinganisha na hali ya zamani. Imeelezwa kuwa hatua hiyo itasaidia kulinda mazingira, kuendeleza uchumi na kuboresha maisha ya viumbe vilivyopo ndani na nje ya hifadhi hiyo. Wito huo umetolewa leo Jumanne Agosti 27, 2024 na…

Read More

Afande atia neno michezo | Mwanaspoti

“MICHEZO ni fursa ya ajira na burudani na kama unataka kuwa na afya bora ya akili na mwili, huwezi kukwepa mazoezi.” Mkaguzi Msaidizi wa Polisi, Malipo Yona ameyasema hayo leo wakati wa tamasha la michezo lililokwenda sambamba na mdahalo wa utoaji elimu juu ya ukatili wa kijinsia kwa wanafunzi kutoka Kata ya Kibamba. Yona ambaye…

Read More

Polisi yamdaka anayedaiwa kuiba mtoto wa miaka minne

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi linamshikilia Zakia Mohamed (26) mkazi wa Mikwambe wilaya ya Kigamboni jijini Dar es salaam kwa tuhuma za kumuiba mtoto Zulkalya Ndambwe (4) tangu Agosti 8, 2024. Kwa mujibu wa taarifa ya Polisi iliyotolewa leo Jumanne Agosti 27, 2024, na Msemaji wake, David Misime, Zakia amekiri kumuiba mtoto huyo na…

Read More

SIMULIZI YA HADITHI: Machozi ya mshumaa – 2

ZAWADI alijikuta akishangaa busara za yule mwanaume aliyeonekana mwenye busara na huruma. Japo hakupenda kuyakumbuka alichofanyiwa na mpenzi wake ambayo huufanya moyo uvuje damu kwa ndani. Hakuwa na jinsi zaidi ya kumhadithia  mkasa mzima uliosababisha kuvunjika penzi lake na mchumba wake aliyebakisha siku chache afunge ndoa. Zawadi baada ya kunywa funda chache za maji alishusha…

Read More

Ingiza Sleeves na Ufanye Kitu, anasema Astrid Schomaker, Mkuu Mpya wa UNCBD – Masuala ya Ulimwenguni.

Astrid Schomaker, Katibu Mtendaji wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa wa Anuwai ya Baiolojia. Credit: UNCBD na Stella Paul (Montreal na Hyderabad) Jumanne, Agosti 27, 2024 Inter Press Service MONTREAL & HYDERABAD, Agosti 27 (IPS) – “Tunaishi katika wakati ambapo maumbile yanainua mikono mara kwa mara na kusema, 'Angalia, niko hapa na nina matatizo,' na…

Read More