Wanafunzi waliofariki dunia Wakiogelea, kuzikwa kesho

Rorya. Watoto wanne kati ya sita waliofariki dunia baada ya kuzama na kunasa kwenye tope katika bwawa la skimu ya kilimo cha umwagiliaji katika kijiji cha Ochuna, Wilaya ya Rorya mkoani Mara wanatarajiwa kuzikwa kesho Agosti 28, 2024 katika eneo la pamoja. Watoto hao, wote wakiwa ni wa kike, wanafunzi wa Shule ya Msingi Ochuna,…

Read More

HADITHI: Zindiko (sehemu ya 1)

KIJIJI cha Mbwira, kilikuwa mbali na mjini.  Inawezekana ndio sababu ya maendeleo yake kuchelewa ikilinganishwa na vijiji vingine vinavyopakana navyo ambayo sasa vimeshakuwa miji. kwa sababu hata wananchi waliokwenda kuishi au kufanya kazi huko, walikuwa wakisita kurudi mara kwa mara na kujenga nyumba zao na za wazazi wao, au kuanzisha hata biashara ndogondogo. Kijuu juu,…

Read More

MIZANI 78 YAFUNGWA KUDHBITI UZITO WA MAGARI

MKURUGENZI wa Idara ya Usalama na Mazingira Wizara ya Ujenzi Mhandisi Kashinde Musa, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo Agosti 27,2024 kuhusu ushiriki wao kwenye wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani inayofanyika kitaifa jijini Dodoma. Meneja wa Mazingira na Jamii Wakala wa Barabara nchini Tanroad, Zafarani Madayi,akizungumza na waandishi wa habari  kuhusu ushiriki…

Read More

Ripoti: Asilimia 69.4 ya wafanyakazi hawana mikataba

Dar es Salaam. Imeelezwa asilimia 69.4 ya wafanyakazi nchini hawana mikataba ya ajira, hali inayoonekana kukiuka haki zao. Hayo yamebainishwa katika ripoti ya Biashara na Haki za Binadamu iliyotolewa na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) ya mwaka 2023/24 iliyozinduliwa leo Agosti 27, 2024 jijini Dar es Salaam. Ripoti hiyo inaonyesha changamoto hiyo…

Read More

Pacha ya Makambo, Yacouba ngoja tuone!

MSHAMBULIAJI wa Tabora United, Heritier Makambo amesema kitu pekee kinachoweza kubadilisha staili ya ushangiliaji wake wa kuwajaza ni supastaa wa  Al Nassr ya  Saudi Arabia, Cristiano Ronaldo Makambo alisema kama Ronaldo amedumu na staili yake ya suuu na imekuwa maarufu dunia nzima, huku wachezaji wengine wakiiga, yeye ni nani hadi abadili ya kwake, hivyo alisisitiza…

Read More

Mchakamchaka wa mwenezi Makalla aanza na uzinduzi wa shina la wakereketwa la wavuvi beach Mji Mwema

Katibu wa NEC Itikadi Uenezi na Mafunzo CPA Amos Makalla amefungua shina la Wakereketwa la Wavuvi Beach Mji Mwema Kigamboni. CPA Makalla akifungua shina la Wakereketwa amesema “nawapongeza sana Viongozi wa Chama kwa kunileta hapa kufungua Shina hili la wakereketwa kwani Chama Cha Mapinduzi nguvu yake kubwa ipo kwenye mashina kama ilivyo kwenye jumuiya zake…

Read More