Serikali yaondoa ucheleweshaji wa mafao kwa wastaafu

Dodoma. Serikali ya Tanzania imesema changamoto ya ucheleweshaji wa mafao kwa wastaafu haipo tena baada ya utekelezaji wa sheria inayotaka malipo kufanyika ndani ya siku 60 tangu kustaafu kwa mtumishi. Hayo yamesemwa leo Jumanne, Agosti 27, 2024 na Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Patrobas Katambi alipokuwa…

Read More

WEZI WAMLIZA ELIUD KWA KUMUIBIA MALI KWENYE GARI YAKE – MWANAHARAKATI MZALENDO

Msanii wa Sanaa ya Vichekesho nchini, Eliud Samwel amesikitishwa na Kitendo cha baadhi ya Watanzania wanaopenda kuwakwamisha wengine au kuwafanya warudi nyuma kimaendeleo. Amefunguka hayo kupitia akaunti yake ya Instagram ambapo amepakia video akieleza kwa masikitiko makubwa namna wezi wamemharibia gari lake, wamemuibia vitambulisho vyake (passport za kusafiria) vitendea kazi vyake, likiwemo vazi lake la…

Read More

Dk Ndugulile kusuka, kunyoa uchaguzi WHO leo

Dar es Salaam. Mkutano wa Afya wa 74 wa Shirika la Afya Duniani (WHO) unaoendelea Brazzaville, Congo leo Jumanne, Agosti 27, 2024 unatarajiwa kumpitisha Mkuu wa WHO Kanda ya Afrika ambapo miongoni mwa wagombea watano Tanzania inawakilishwa na Dk Faustine Ndugulile. Wagombea wengine ni pamoja na Dk Boureima Hama Sambo (Niger) Dk N’da Konan Michel…

Read More

Azam FC kujiuliza kwa maafande Dar

BAADA ya kutupwa nje ya michuano ya kimataifa mbele ya APR ya Rwanda, matajiri wa Chamazi, Azam FC watakuwa na kibarua kizito kesho Jumatano dhidi ya JKT Tanzania kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo, Mbweni katika mchezo wao wa kwanza wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Msimu uliopita Azam ilivuna pointi sita dhidi ya JKT Tanzania…

Read More

MIRADI IENDANE NA THAMANI YA FEDHA INAYOTUMIKA – MAJALIWA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza  wakati alipofungua Maadhimisho ya Miaka 50 ya Idara ya Ujenzi ya Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Karume (KIST) kwenye ukumbi wa hoteli ya Goden Tulip Airport, Zanzibar 27 Agusti 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na viongozi alipowasili kwenye hoteli ya Golden Tulip…

Read More

Rais Mwinyi amezitaka TAKUKURU, ZAECA kuongeza ushirikiano

Na Mwandishi Wetu Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amezisihi Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) na Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu Uchumi Zanzibar (ZAECA) kuongeza ushirikiano katika ufanisi wa kazi zao. Dk. Mwinyi alitoa nasaha hizo Ikulu, Zanzibar, leo Agosti 27,2024 alipozungumza na Mkurugenzi…

Read More