Maagizo ya Dk Mwinyi kwa Takukuru, Zaeca

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amezitaka Taasisi za Kuzuia na Kupambana na Rushwa na Uhujumu Uchumi (Takukuru na Zaeca) kuongeza ushirikiano ili kuleta matokeo chanya katika utendaji kazi. Dk Mwinyi ametoa kauli hiyo leo Agosti 27, 2024 Ikulu, Zanzibar alipozungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru, Crispin Chalamila aliyefika kujitambulisha. Chalamila aliteuliwa Agosti 14,…

Read More

JKT Stars yaitembezea kichapo Vijana Queens

TIMU ya JKT Stars imeifunga Vijana Queens kwa pointi 73-56 katika mchezo wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam uliochezwa kwenye Uwanja wa Donbosco Osterbay na kuacha maswali kwa wapenzi wakiijadili timu hiyo kongwe. Hata hivyo mchezo huo ulitaka uingie dosari kutofanyika  kutokana na wachezaji wa Vijana Queens kuamini hivyo. Picha hiyo ilionekana…

Read More

REA yamtaka anayeendeleza mradi wa umeme Maguta kuongeza kasi

Na Mohamed Saif- Iringa Serikali imemtaka anayeendelezamradi wa kufua umeme kwa kutumia maporomoko ya maji wa Maguta uliopo Kijiji cha Masisiwe wilayani Kilolo, Iringa kuukamilisha kwa wakati. Mkurugenzi wa Teknolojia za Nishati Jadidifu na Mbadala kutoka Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mhandisi Advera Mwijage ametoa maelekezo hayo Agosti 26, 2024 alipofanya ziara ya kukagua maendeleo…

Read More

Watatu wahukumiwa kunyongwa kwa mauaji ya Milembe wa GGM

Geita. Washtakiwa watatu kati ya wanne walioshtakiwa kwa kosa la mauaji ya Milembe Suleiman (43) wametiwa hatiani na kuhukumuiwa adhabu ya kunyongwa hadi kufa. Mahakama imetoa adhabu hiyo baada ya kuridhishwa na ushahidi uliotolewa na upande wa Jamhuri, kuwa umethibitisha kosa hilo pasipo kuacha shaka. Hukumu hiyo imetolewa leo Agosti 21, 2024 kuanzia saa 3.02…

Read More