RAIS DKT SAMIA AHUDHURIA HAFLA YA UZINDUZI WA KAMPENI YA RAIS RAILA AMOLO ODINGA, WAZIRI MKUU MSTAAFU KENYA ANAYEWANIA NAFASI YA MWENYEKITI WA AU

  Mhe. Raila Amolo Odinga, Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Kenya anayewania nafasi ya Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AU) akizungumza wakati wa Uzinduzi wa Kampeni , Ikulu ya Nairobi, tarehe 27 Agosti, 2024. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na…

Read More

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Aonya juu ya Athari za 'Kikatili' za Mabadiliko ya Tabianchi kwa Visiwa vya Pasifiki – Masuala ya Ulimwenguni

Katibu Mkuu António Guterres alishuhudia athari za kupanda kwa kina cha bahari akiwa Samoa. Credit: Kiara Worth/United Nations na Naureen Hossain (umoja wa mataifa) Jumanne, Agosti 27, 2024 Inter Press Service UMOJA WA MATAIFA, Agosti 27 (IPS) – Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres alionya juu ya madhaŕa mapana ya mabadiliko ya hali…

Read More

Tumwagile, Taudencia kazi ipo | Mwanaspoti

MCHUANO mkali upande wa udakaji mipira ya rebound, kwa wanawake umeonyesha kwuapo kwa wachezaji Tumwagile Joshua kutoka DB Lioness na Taudencia Katumbi wa DB Lioness. Tumwagile mwenye umbile kubwa anaongoza kwa udakaji wa mipira ya rebound mara 290, huku Taudencia ambaye ni raia  Kenya akidaka mara 286. Wakali hao wanafuatiwa na Irene Kapambala wa Polisi…

Read More

TAKUKURU na ZAECA ongezeni ushirikiano -Rais Mwinyi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amezisihi Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) na Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu Uchumi Zanzibar (ZAECA) kuongeza ushirikiano katika ufanisi wa kazi zao. Dk. Mwinyi alitoa nasaha hizo Ikulu, Zanzibar, alipozungumza na Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Ndugu. Crispin Francis…

Read More

RAIS DK. MWINYI ATETA NA UMOJA WA MADIWANI CCM TANZANIA

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika mazungumzo na Ujumbe wa Umoja wa Madiwani wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania walipofika Ikulu kwa mazungumzo, ukiongozwa na Katibu wa Umoja huo, Mhe. Hilda Augustino Kadunda (kulia kwa Rais) mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar. RAIS wa…

Read More

Wabunge waibana Serikali tatizo la ajira

Dodoma. Wabunge wa Tanzania wameibana Serikali bungeni kuhusu masuala ya ajira huku Serikali ikisema baadhi ya nafasi za ajira katika kada ya afya zimekosa waombaji hususan katika mikoa mitatu iliyoko pembezoni ya Mtwara, Lindi na Kigoma. Hayo yamesemwa leo Jumanne Agosti 27, 2024 na Naibu Waziri, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na…

Read More