
Morocco: Stars ipo kamili gado
KAIMU Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Hemed Suleimani ‘Morocco’ amesema, kikosi hicho kiko kamili kwa ajili ya michezo miwili ya kimataifa kufuzu michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON), itakayofanyika mwakani. Stars iliyopo kundi ‘H’ la kutafuta nafasi ya kufuzu michuano hiyo, itashuka kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini…