SERIKALI YAZINDUA MRADI WA KUPUNGUZA GESIJOTO

Naibu Katibu Mkuu (Muungano) Ofisi ya Makamu wa Rais Bw. Abdallah Hassan Mitawi akizindua Mradi wa Kuandaa Mkakati wa Taifa wa muda mrefu wa kupunguza Uzalishaji wa Gesijoto jijini Dodoma. Kaimu Mkurugenzi wa Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Mhandisi Catherine Bamwenzaki akitoa neno la utangulizi wakati wa kikao cha uzinduzi wa Mradi wa Kuandaa…

Read More

PROF. KAHYARARA: USAFIRI WA MAJINI KICHOCHEO UKUAJI UCHUMI

Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Profesa  Godius Kahyarara akizungumza Mkutano wa 27 wa Kamati ya Kusimamia Utekelezaji wa Hati ya Makubaliano ya Ukaguzi wa Meli katika Bahari ya Hindi  (IOMOU) wenye lengo la kujadili na kubadilishana uzoefu juu ya ukaguzi meli zinazoingia katika bandari za nchi wanachama. Mkurugenzi Mkuu wa TASAC  Salum Mohamed akitoa…

Read More

NAMNA YA KUWEZA KUMPATA MSALITI KWENYE MAHUSIANO

Jina langu ni Baba Sele kutokea Mombasa, Kenya, baada ya mke wangu kuanza tabia ya kuninyima tendo la ndoa kwa kisingizio kuwa amechoka na shughuli za kila siku, nilianza kupata wasiwasi kuhusu mwenendo wa tabia yake. Baso nilijaribu kukaa naye chini kumuuliza kuhusu hilo na kuniambia hakuna chochote kilichobadilika kwake bali ni wivu wangu wa…

Read More

Prof.Kahyarara -ussfiri wa majini kichocheo ukuaji uchumi

  Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Prof. Godius Kahyarara amesema Serikali ya Tanzania inatekeleza mipango madhubuti ya kuchochea ukuaji wa uchumi wa Tanzania kwa kuwekeza kwenye ujenzi wa miundombinu ya usafiri wa majini.   Prof. Kahyarara ameyasema hayo, leo tarehe 26 Agosti, 2024, wakati akifungua Mkutano wa 27 wa Kamati ya Kusimamia Utekelezaji wa…

Read More

Vituo vya kulelea watoto vina sifa?

Katika kipindi cha maendeleo ya awali ya mtoto, elimu kwa watoto wadogo wenye umri wa miaka 0-2 ni muhimu. Katika hatua hii, mtoto anajenga misingi ya kukua kihisia, kujenga lugha, na kujiendeleza kijamii, ambapo mara nyingi stadi hizi hupatikana katika mazingira ya nyumbani chini ya usimamizi wa wazazi na walezi. Hata hivyo, ukatili dhidi ya…

Read More

Msajili wa Hazina aipa kongole TAZAMA

*Kwa kutoa Gawio kwa Serikali Sh. Bilioni 4.35 Na Mwandishi Wetu MSAJILI wa Hazina Nehemia Mchechu amelipongeza Shirika linalosimamia Bomba la Mafuta kutoka Tanzania kwenda Zambia (TAZAMA). kwa kutoa gawio la Sh. Bilioni 4.35 kwa Serikali ya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ikiwa ni takribani miaka 15 iliyopita tanguilipota gawio la mwisho kwa Serikali….

Read More