SERIKALI ITANUNUA MAHINDI MPAKA MBAKIZE AKIBA KWAAJILI YA CHAKULA

Serikali imesema itaendelea kununua zao la mahindi kwa wakulima mpaka pale watakapobakiza akiba yakuwatosha na familia zao huku matarajio ni hadi kufikia msimu ujao wakilimo hii nikutokana na uwepo wa fedha zakutosha kuendesha zoezi hilo nakuhakikisha wananchi wanapata malipo yao kwa wakati. Hayo yameelezwa na wasimamizi wavituo mbalimbali vya Wakala wa hifadhi ya Chakula NFRA…

Read More

Kupanda kwa kina cha bahari ni nini na kwa nini ni muhimu kwa maisha yetu ya baadaye? – Masuala ya Ulimwenguni

Umoja wa Mataifa Katibu Mkuu Antonio Guterres amekuwa akitembelea mataifa ya Bahari ya Pasifiki, Tonga na Samoa, ambapo kupanda kwa kina cha bahari imekuwa moja ya masuala muhimu ambayo amekuwa akijadiliana na jamii ambazo amekutana nazo. Tarehe 25 Septemba, viongozi na wataalam wa kimataifa watakusanyika katika Umoja wa Mataifa kujadili namna bora ya kukabiliana na…

Read More

WANANCHI WILAYA ULANGA WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA KUTOKA NEEC – MWANAHARAKATI MZALENDO

Wananchi wa Mahenge katika Halmashauri ya Wilayani ya Ulanga, Mkoani Morogoro wametakiwa kuchangamkia fursa zinazotolewa na Baraza la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) ili waweze kujikwamua kutoka katika lindi la umasikini kwa kuongeza kipato na kukuza uchumi. Afisa Maendeleo ya Jamii wa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga, Bw. Peter Nambunga, alisema hayo katika program maalum ya…

Read More

Fadlu aweka masharti mawili Simba

KOCHA mkuu wa Simba, Fadlu Davids ameanza vyema Ligi Kuu Bara msimu huu baada ya kukiongoza kikosi chake kuibuka na ushindi katika mechi mbili kilizocheza, lakini wakati timu ikiongoza msimamo wa ligi ametoa maagizo mawili ambayo anataka yafanyiwe kazi kwa haraka. Agizo la kwanza ni kupandishwa kwa wachezaji watano kutoka katika kikosi cha vijana chini…

Read More