Jaji ataja sababu hukumu kesi ya Milembe kuahirishwa

Geita. Hukumu ya kesi ya mauaji ya Milembe Suleman iliyotarajiwa kutolewa leo, Agosti 26, 2024, imeahirishwa na sasa itasomwa kesho, Agosti 27, 2024, saa tatu asubuhi. Sababu zilizotajwa za kuahirishwa kwa hukumu hiyo ni urefu wa kesi, wingi wa mashahidi, pamoja na mchakato wa utafutaji wa haki kwa pande zote mbili. Jaji mfawidhi wa Mahakama…

Read More

Aweso aja na kampeni kutatua changamoto ya maji

Dar es Salaam. Waziri wa Maji, Jumaa Aweso ametaja sababu tatu za kuanzisha Kampeni ya ‘Dawasa mtaa kwa mtaa, njoo tukuhudumie’ ikiwemo kutatua changamoto zinazowakabili wananchi kwa kuondoa lawama na manung’uniko na kuwapatia huduma ya maji safi na salama. Kampeni hiyo itakayosambaa nchi nzima inalenga kuwa karibu na wananchi, ili wawe huru kutoa maoni yao…

Read More

Walimu, wanafunzi Pugu wanolewa elimu ya fedha

Dar es Salaam. Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imetoa elimu ya fedha na umuhimu wa kuweka akiba kwa wanafunzi na walimu wa Shule ya Sekondari ya Wavulana ya Pugu, iliyopo Manispaa ya Ilala, Dar es Salaam. Hatua hii inalenga kuwapa wanafunzi ujuzi wa kifedha, kuwawezesha kujiwekea akiba, kubuni mawazo ya biashara na kufahamu jinsi…

Read More

Kituo cha Afya Tandale chakumbukwa, sasa kupanuliwa

Dar es Salaam. Kutokana na ufinyu wa eneo katika Kituo cha Afya cha Tandale ambao unasababisha changamoto katika utoaji wa huduma za afya kwa wananchi, kituo hicho kiko mbioni kuongezwa ukubwa. Kwa sasa, kituo hicho kinakadiriwa kuhudumia wagonjwa zaidi ya 1,000 kwa siku, sawa na watu 30,000 kwa mwezi, kama alivyoeleza Mganga Mfawidhi wa kituo…

Read More

Siku ya nne mgomo Soko Kuu Mafinga, wafanyabiashara wapaza sauti

Mufindi. Wakati mgomo wa wafanyabiashara katika soko kuu Mafinga mkoani Iringa ukiinga siku ya nne nne leo, wafanyabiashara wa matunda, nafaka pamoja na samaki wamelalamikia wakisema mgomo huo unawaathiri kibiashara. Mgomo huo umesababisha adha kwa wananchi na wafanyabiashara wasio na maduka, wakisema wanayategemea maduka hayo kupata bidhaa za kuuza. Mwenyekiti wa soko hilo, Philinus Mgaya…

Read More

Abiria wa Qatar wanaotumia CRDB kupata punguzo

Dar es Salaam. Benki ya CRDB kwa kushirikiana na  kampuni ya malipo ya Visa International imetangaza kutoa nafuu ya nauli ya asilimia 22 kwa abiria wa Shirika la Ndege la Qatar watakaolipia tiketi zao kwa kutumia kadi za Tembocard Visa. Nafuu hiyo inajumuisha punguzo la asilimia 12 litakalotolewa na kampuni ya Visa International pamoja na…

Read More

Vyuo vya afya nchini kutumia mtalaa mmoja wa mafunzo

Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Elimu ya Juu Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia Peter Msofe amedokeza kuanza kutumikia kwa mtalaa mmoja kwa wanafunzi wa masomo ya  udaktari na uuguzi, lengo likiwa kupata wahitimu wenye sifa moja na washindani katika soko la ajira ndani na nje ya nchi. Pia kuanza kutumika kwa mtalaa huo kutawaongezea…

Read More