Wahandisi vijana kupigwa msasa na ERB

Dar es Salaam. Wahandisi vijana takriban 500 wanatarajiwa kushiriki katika kongamano lililoandaliwa Bodi ya Usajili ya Wahandisi (ERB) likilenga kuwapiga msasa. Kongamano hilo la siku mbili kuanzia Septemba 2-3 ni sehemu ya matukio yanayotarajiwa kufanyika kuelekea mkutano wa mwaka wa wahandisi nchini unaotarajiwa kufanyika Septemba 2-3 mwaka huu jijini Dar es Salaam. Amesema kongamano hilo…

Read More

Mpina: Sitafukuzwa CCM kwa kukemea rushwa

Simiyu. Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina amesema hawezi kuvuliwa uanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM), kwa sababu tu ya kuwataja hadharani aliowaita mafisadi na wala rushwa kwa kuwa hata chama hicho kimekuwa kikikemea vitendo hivyo. Mpina kwa sasa anatumikia adhabu ya kutohudhuria vikao 15 vya Bunge,  baada ya Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya…

Read More

Hatima anayedaiwa kutumia laini isiyo yake Septemba 19

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imepanga Septemba 19, 2024 kutoa hukumu ya kesi ya kutumia laini ya simu iliyosajiliwa kwa jina la mtu mwingine, inayomkabili Purity Njau. Njau anadaiwa kutumia laini hiyo bila kutoa taarifa kwa mtoa huduma ambaye ni Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA). Uamuzi huo umetolewa leo Jumatatu Agosti 26, 2024…

Read More

WANANCHI SIO DHAMBI KUJUA MAPATO NA MATUMIZI YA MIRADI MBALIMBALI KATIKA MAENEO YENU.

Katika jitihada zakutoa elimu kwa wananchi kufahamu haki ya kuhoji juu ya mienendo ya miradi mbalimbali inayotekelezwa katika maeneo yao , taasisi ya Wajibu imezindua mradi wa NINAWAJIBIKA unaolenga kutoa hamasa kwa wananchi kujikita katika kuhakikisha wanajenga utaratibu wakuwajibika kikamilifu kufahamu mapato na matumizi ya miradi mbalimbali katika jamii kwani wanahaki yakujua gharama zote ikiwa…

Read More

Trafiki 168 wafukuzwa, wahamishwa kwa makosa ya kinidhamu

Dodoma. Askari wa usalama wa barabarani  168 wamechukuliwa hatua zikiwamo kushtakiwa kijeshi, kuhamishwa vitengo na kufukuzwa kazi, kutokana na makosa ya kinidhamu ikiwemo rushwa katika kipindi cha kuanzia Juni 2023  hadi Juni 2024. Mwanasheria wa Kikosi cha Usalama wa Barabarani, Deus Sokoni ameeleza hayo wakati wa uzinduzi wa wiki ya usalama wa barabarani, inayoambatana na…

Read More

Trafiki 168 wachukuliwa hatua ndani ya mwaka mmoja

Dodoma. Askari wa usalama wa barabarani  168 wamechukuliwa hatua zikiwamo kushtakiwa kijeshi, kuhamishwa vitengo na kufukuzwa kazi, kutokana na makosa ya kinidhamu ikiwemo rushwa katika kipindi cha kuanzia Juni 2023  hadi Juni 2024. Mwanasheria wa Kikosi cha Usalama wa Barabarani, Deus Sokoni ameeleza hayo wakati wa uzinduzi wa wiki ya usalama wa barabarani, inayoambatana na…

Read More