
Vijana 50 Morogoro wanufaika na mkopo wa vifaa kutoka Taifa Gas
Na Mwandishi wetu KATIKA kuendeleza kampeni ya kumtua mama mzigo wa kuni kichwani Kampuni ya Taifa Gas imewapatia vijana 50 wajasiriamali mjini Morogoro vifaa vya gesi kupitia mkopo vikiwemo majiko, mtungi wa gesi . Lengo ni kuwawezesha kuanza matumizi ya nishati safi katika biashara zao Hatua hiyo ni muendelezo wa jitihada za kampuni hiyo katika…