Jumatatu ya kujaza mfuko wako ni leo

  Je unajua kuwa Jumatatu ya leo kuna mitanange kibao ya pesa ndani ya Meridianbet, hivyo basi kaa mkao wa kupiga mpunga endapo utabashiri mechi zako za uhsindi hapa. Leo hii pale SERIE A kutakuwa na mechi mbili kali sana ambapo mchezo wa mapema utakuwa ni kati ya mwenyeji Cagliari Calcio dhidi ya Como 1907…

Read More

Simulizi ya mvuvi aliyenusurika kifo mara tatu baharini

Tanga. Kufa ni mara moja tu, ndivyo inavyoelezwa na Waswahili, hata hivyo kwa Ramadhani Adamu (58), ambaye ni mvuvi wa Mwalo wa Deep Sea, jijini Tanga na mkazi wa Wilaya ya Mkinga, kifo kwake kimebisha hodi mara tatu na anamshukuru Mungu amenusurika. Ramadhani anawakilisha zaidi ya wavuvi wadogo waliopo Tanzania wanaovua kwa zana hafifu, lakini…

Read More

Zawadi zatajwa chanzo cha ukatili wa kingono kwa wanafunzi

Arusha. Hongo, zawadi ndogondogo pamoja na mmomonyoko wa maadili zimetajwa kuwa chanzo cha matukio ya ukatili wa kingono kwa wanafunzi shuleni. Kutokana na hilo, wazazi na walezi wametakiwa kuongeza ukaribu na watoto wao katika malezi, lakini pia Serikali iongeze adhabu kwa watu wanaothibitika kutenda makosa ya kinyume na maadili, hasa ubakaji na ulawiti wa watoto….

Read More

OFISI YA NAIBU WAZIRI YAPOKEA GAWIO BILIONI 4.35

   Dkt. Biteko asema ni matokea ya ziara ya Rais Samia nchini Zambia  Aitaka TAZAMA ijiendeshe kwa faida Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amepokea gawio la Serikali la zaidi ya Shilingi Bilioni 4.35, kutoka Kampuni ya Bomba la Kusafirisha…

Read More